Makinda ampinga Zitto hoja ya Kumuondoa Waziri Mkuu

magamba wasichojua ni kuwa CDM ilikuwa inasubiri sakasi huku wamevaa mataulo ili sasa tuende kwa wananchi, sasa rasmi magamba byebye, January amewaponza magamba, Halafu inatakiwa zito afahamu kuwa hiki kijamaa ni gamba noma, kitamponza.
 
Hapo sijaelewa kidogo.

Hoja imfikie siku 14 kabla ya nini? kwani hoja imeshapelekwa si ndio inaandaliwa?
 
"mwerevu yamtosha ishara" kama sahihi zilitimia sababu ikawa ni siku chache tu basi hakuna shaka wakati umefika kama si leo ni kesho haifiki keshokutwa,kama ishara hii hawataiona basi hapana shaka shoka litawakata
 
ivi uyu januari kumbe hajakomaa kama mwezi januari?
yaani bado ni kinda tu....na anaelekea kuwa mwehu ka babake
 
Mh. Zito Kambwe, wala hayo maneno ya Spika yasikubabaishe, ni kawaida yake. Endeleakukusanya hizi signature, kwani hat vifungualivyovisema spika haiezelezi ni kwa namna gani hizo signature zinapatika/kusanywa, hata ikibidi piga debe kama konda ili hao magamba wa ccm wasijesema hawajakusikia au kuona ukpizikusanya. Poa tu ha bunge lijalo utaweza ku lodge hiyo hoja. Keep it up MAN OF THE PEOPLE.
 
Hoja za Mh. Zitto haijapigwa chini per se coz mpaka bunge lijalo kigezo cha siku 14 kitakuwa kimetimia, swala liliopigwa chini ni kuwasilisha hoja iyo jumatatu kwani zitakuwa zimetimia siku 4 tu, hivyo basi nafasi ya hoja hii bado ipo hai.
 
Tatizo ni January au tatizo ni Kanuni, tusilalamike tujiulize tatizo ninini, watanzania kwa kulalamika du!
 
Wekeni stori

Pamoja na kuwa hoja imeondolewa mimi naamini ujumbe umefika kuwa uwaziri mkuu hausomewi popote. Na kwa vile bunge ndilo waliodhinsha uteuzi wake, Pinda ujumbe kapata ndhani usiku wa jana amelala nalia kwa mama Tunu. anaona raha kupigiwa ving'ora wakti watu hwana mlo shauri ya ufisadi. Atokeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Magamba yamepata ahueni lkn ni sawa na kuahirisha kifo, kipo pale pale ni suala la wakati tu.

Huyu bibi mchawi sana. Ingekuwa amri yangu ningemuuliza kwa nini mpk leo Godbless Lema hajatoa ushahidi wa kauli yake kuwa PM muongo?
 
Spika amesoma vipengele vya katiba kuhusu kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu, namnukuu " taarifa ya maandishi inatakiwa iwakilishwe kwake ikiwa na sahihi za wabunge si chini ya asilimia 25, ndani ya siku 14 kabla ya kuweza kufanyiwa kazi". Bunge linahitimishwa siku 4 zijazo hivyo kikatiba haiwezekani labda bunge lijalo".

Mimi nimemuelewa spika vzuri kabisa, najiuliza Mh Zitto kwa utashi wake jambo hili hakulifahamu au imekuwaje maana sipendi kuspeculate hapa. Mpaka bunge lijalo wabunge watakuwa wamesahau hivyo hoja hii itakuwa haina nguvu.
Nawasilisha
 
Huyo mama kwanini asitengenezewe hata skendo au ajali kama ya E.M. Sokoine akafie mbali huko matakwa yake......
 
Back
Top Bottom