Ina maana Mh. Zitto hakulijua hili??
Kamanda Zitto usirudi chukua hayo majina tu siye tupo!!Kirobo kazini
Kwa ufupi hija ya Zitto labda bunge lijalo siyo J3 tena amesema sio utaratibu na mambo ya hayo ni makandokando haikuwa hoja
duuh hoja ya zitto ishapigwa chini duuh