#MakeMeSing yafanya vizuri Afrika Kusini

#MakeMeSing yafanya vizuri Afrika Kusini

Music wa bongo kumbe unalipa yan mtu anaenda kufanya scene ya sebuleni anabeba timu nzima ha ha ha ha ha huu mziki una mazombi
 
Namimi ntamshirikisha Chibu Dangote ili nifikishe hyo Milion,maana bila huyu itakua ngumu hta jiwe7
 
huyu diamond naeza kusema ndo rasiliamali tuliyo nayo watanzania ambayo hakuna mwekezaji aliyeitaifisha nadhani angekuwa ni mkenya jirani zetu wanavyopenda misifa tusinge kaa kwa amani dah hakika Mungu HAKUNYIMI VYOTE!.....
 
Ina maana Diamond kambeba huyu msanii
ingawa wabongo tunamuona huyu msanii ndo mkuubwa na kambeba Diamond...
hatujithamini ....
Diamond anaweza kuwa msanii mkubwa zaidi Africa kwa sasa
rekodi zake za you tube na instagram sioni mwanamuziki yeyote wa Africa akimkaribia
Wanasema jirani yako hawezi kukuita mwanaume hata siku moja…… utakubalika kwa watu wa mbali tu
 
AKA video yke ya all eyez on me biggest hit song in Africa ina views 1.4M hadi sasa lazima watu washangae. Cassper Nyovest Doc Shebeleza nayo ina 1M hadi sasa YouTube in years.
 
AKA video yke ya all eyez on me biggest hit song in Africa ina views 1.4M hadi sasa lazima watu washangae. Cassper Nyovest Doc Shebeleza nayo ina 1M hadi sasa YouTube in years.
Kweli kabisa na ukicheki izo ngoma mbili zote zilihit sana naona aka hajamini kabisa
 
We Kunguni kweli, ni Diamond+AKA. Means ni wa wote, na sio feat. kama unavyosema.
Mijitu mingine inakurupuka tu kama ushuzi!!! Bilashaka unatumia kichwa cha chini kufikiri, jaribu kutumia kichwa cha juu kabla ya kucomment labda utakuwa na adabu. Tafuta details kiroba we...!
 
Inaonesha Watanzania wengi wanashinda sana kwenye Mitandao
 
Hivi Diamond ni mkenya au mim mgen hapa Tz maana nimeona huko inst wamempa uraia eti "Kenya Rapper"
 
halafu huyu mondi mbona wanapenda kumuhamisha nchini mwake bila hiyari?siku za nyuma aliwahi kutajwa kama ni anatoka Togo leo ni Mkenya...shida hii, huyu jamaaa ni noma aise.
 
Ningeshauri YOUTUBE waweke kitufe cha LIKE na DISLIKE.
Ktk hizo views, kuna wengine walienda angalia baada ya video kupata promo sana, ila wakaishia kuwa dissappointed, binafsi nimeipenda video ila audio ya kawaida sana. Ila Mond ni brand siku hizi, hata akitoa audio mbovu itapendwa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom