Erica mwaisumo
Senior Member
- Mar 6, 2015
- 151
- 150
Tungeni wenu na ninyi muimbe
Hata JAY Z licha yakua all time century rapper/hip hop iconic, sio kila ngoma akitoa ni HIT song.... ana nyimbo kibao ambazo sio hit songs.. lakini still yuko kwenye pick... same applies kwa DIAMOND, kaisha fika kwenye Pick so expect anything from his songs/videos... you feel me!!!Ila wimbo sio mkali kivile, sema palipo Diamond wimbo wowote unaonekana mzuri
Wengi wanaponda idea ya video yakeSwali ambalo hadi sasa sijapata jibu ni kwamba hawa wanaoiponda hii ngoma wanatumia vigezo gani hasa!!
Mnabishana mpk mnatoa povu wakati hamna details za kutosha!!!! Wimbo ule si wa Diamond, ni wa A.K.A feat Diamond. Mnapojadili anzieni hapo...
Kwamba unahitaji kusoma muziki ili uujue wimbo mzuri au mbaya nimeshatoa jibu tangia mwanzo nani atatoa maoni ya aina gani.
Kwamba view nyingi kunatokana na umaarufu wa mtu jibu ni simple tu... that's how the industry works popote pale duniani vinginevyo pia uta-argue kwamba mauzo makubwa ya album yanatokana na umaarufu, kuwepo kwenye chat kunatokana na umaarufu, kuwa na followers wengi kunatokana na umaarufu and so on! Lakini hivyo ndivyo dunia inavyoenda unless kama tunataka tuishi kwenye fantasy world. Isitoshe, hili la umaarufu nalo halitokei by chance or by means of good luck. Unafanya kazi nzuri, unatengeneza fans base na kinachofuata hapo ni more views, more sales, more endorsements, more nominations, more this, more that....!!!
Labda nitaje ile ninayoona ni tofauti ya msingi kati yangu na yako kitu ambacho itakuwa ni sababu tosha ya kutofikia muafaka kati yetu! ALWAYS, mimi ni mtu wa statistics & figures plus reference.
Kiroja cha mwaka hiki... napata shaka hata ikiwa wimbo wenyewe tunaouzungumzia hapa unaufahamu!!! Inawezekana pia hata hiyo A.K.A vidole viliteleza na ulikusudia kuandika AY!Mnabishana mpk mnatoa povu wakati hamna details za kutosha!!!! Wimbo ule si wa Diamond, ni wa A.K.A feat Diamond. Mnapojadili anzieni hapo...
I know wanasema ame-copy idea! In short, huwezi ku-copy kitu ambacho hakiwezi kuwa copyrighted. Duniani kote idea si mali ya mtu na wala haina copyright! Kwa waandishi wa filamu wanafahamu hili na wanafundishwa hili kwamba, one of the source ya kupata idea ni kwa kuangalia filamu/series zingine! Unaweza kuichukua scene moja ya filamu, ukai-twist kisha ukaandika script kwa plotting nyingine kabisa! Hiyo haiitwi ku-copy na wala sio kosa. Na ndio maana, video zinazohusu kurushwa mikwanja zipo kibao tu na bado zitaendelea kutengenezwa!Wengi wanaponda idea ya video yake
That was a dance video teena those girls ni wanachuo nadhaniii walicreate ile video JB akaona its good akaifanya official btw wimbo ni dance song...Either way idea ya D nzuri but i think walikua na idea ya video kwanza kabla yakutunga wimboVipi video ya sorry by j.b na wimbo vimeendana
huu ndio ukweli big up mkuuTaarifa njema ni kwamba hakuna wimbo wa Diamond uliosifiwa ulipotoka hapo hapo...from My number one,Nitampata wapi, Nana na nyinginezo, lakini matokeo yake tunayajua. Tuvute subira.
Nahisi "mapera"umeuzidi huu wimbo kwa ubaya..!au kuna tatizo huko?!wimbo hovyo kabisa hakuna wimba mbaya kama huu, kwa stail hii hawezi kumfikia K 4 REAL
Huyu mtoto katoka wapi na kuingia chumba cha wakubwa na kuanza kuropokaropoka ujingawimbo hovyo kabisa hakuna wimba mbaya kama huu, kwa stail hii hawezi kumfikia K 4 REAL
Vipi Lupela?Goma la #MakeMeSing limeshika nafasi ya kwanza katika Top 10 za ngoma zinazovuma nchini South Africa.
Unajikanganya,kubalitu kama NifahIla wimbo sio mkali kivile, sema palipo Diamond wimbo wowote unaonekana mzuri
Expired Song baada ya kutoka MaKeMeSong,Sijui kama unasikika kwa Air.Vipi Lupela?