Make Kilimanjaro great again Serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa

Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku

Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka

Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana

Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua

Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji

Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
 
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa


Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku


Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka


Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana


Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua
Ukiondoa egoism unaweza kuwa na hoja ya msingi
 
Uko sahihi ukiwa na serikali A majimbo maendeleo ni fasta. Hata Nyerere alikuwa ni muumini wa majimbo/ugatuzi(decetralization) kuna hotuba yake anasema " serikali za mitaa ni serikali kamili, serikali kuu haiweI kuziongezea mamlaka wala kuzipunguzia" lakini trend inayoendelea sasa nikupunguza nguvu ya serikali A mitaa, kupunguza nguvu za wananchi wa maeneo husika kujiamulia mambo yao.
 
Mngekuwa wamoja ningewashauri mjitenge, shida ni kwamba Watu wa Mkoa wa KLM siyo one people, na haishii hapo tu hawapendani pia, ...
 
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa


Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku


Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka


Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana


Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua


Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji


Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
Mbege na bange ni vitu vibaya sana.

Sasa KLM ukiondoa Mlima Kilimanjaro kuna nini kingine ??
 
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa


Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku


Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka


Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana


Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua


Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji


Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
Hii sio sawa, si kweli ndugu zangu...?
 
Alafu wote mmekuja kurundikana Dar kwa Wazaramo kutafuta hela ,ikiletwa serikali ya majimbo mtarudi kwenu milimani tuone mtakula na kulima nini

Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app

Mzee baba kwani huko Dar unakosema wamerundikana wanalima huko?
Dar kuna mashamba?
Halafu unapaswa ujue wachaga wamejazana hadi Colombia, Milan, Quatar n.k huko!
 
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa


Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku


Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka


Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana


Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua


Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji


Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
Mimi nilikuwa mnazi wa hoja hii lakini kwa bandiko lako hili
nimejiondoa maana nimejua kumbe nia haikuwa njema.
asante kwa kunifumbua macho.

Labda niseme kwa faida ya wengi: Hivi unadhani,kwa mfano nchi hii ikiingia vitani na let say Kenya
kama idd amini alivyovyamia kagera,ni kweli kwamba watachukuliwa wanajeshi wenye asili ya kaskazini
kupigania hiyo mikoa?
Unawezakuta ambao ni masikini kwa sasa wako hivyo kwa sababu ya raslimali zao
kutumika kujenga huko unakokuona kwa sasa kunacheleweshwa kimaendeleo.
 
Mzee baba kwani huko Dar unakosema wamerundikana wanalima huko?
Dar kuna mashamba?
Halafu unapaswa ujue wachaga wamejazana hadi Colombia, Milan, Quatar n.k huko!
hawalimi ila wamejaa vibarazani walisafisha viatu vya wapita njia na kuchoma nyama kwenye maBar
sasa wakiambiwa warudi makwao patatosha? wamekata kahawa wakagawana vihamba hakutosha, wakahamia Arusha wakaleta fujo, wengine wamekimbilia Canada
bado wapo waliohamia Turiani wakalima huko..nk
hivi hao wote na wa Columbia wakirudishwa kweny jimbo lao la KLM watatosha?
achana na mawazo hayo utawaponza wafukuzwe huko vijijini na Wasukuma na wazaramo, pia unawasababishia hawaaminiki tena hata kwenye uongozi, kwa sasa kabaki wa Rombo tu
 
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa


Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku


Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka


Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana


Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua


Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji


Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
Leo umezungumza jambo la msingi sana, Kilimanjaro ilijengwa na wenyeji kwa kushirikiana na wenyeji. Serikali ya CCM ndio imeharibu ustawi wa huo mkoa, ingekuwa wapo level za Malaysia, Qatar na wengine. Juhudi za makusudi zilifanyika ili kudumaza ukuaji wa uchumi wa mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha. Sababu ya hili iko wazi wala hakuna sababu ya kusema mengi.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom