luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Yaan unaleta mada then una tupa sisi kazi ya kukutafutia reference hoja dhaifu kama izi JF wangekuwa wana zifuta tuIngia web ya wizara ya fedha ujisomee
Yaan unaleta mada then una tupa sisi kazi ya kukutafutia reference hoja dhaifu kama izi JF wangekuwa wana zifuta tuIngia web ya wizara ya fedha ujisomee
Kilimanjaro inafanya vizuri kielimu matokeo ya kidato cha ngapi na mwaka gani?Nyie mlikuwa wapi kusoma?
Si mlikuwa mnachunga mbuz?
Na sasahv Kilimanjaro inavyofanya vizur kielimu nk Ni kina mramba?
Kilimanjaro inafanya vizuri kielimu matokeo ya kidato cha ngapi na mwaka gani?Nyie mlikuwa wapi kusoma?
Si mlikuwa mnachunga mbuz?
Na sasahv Kilimanjaro inavyofanya vizur kielimu nk Ni kina mramba?
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi
Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa
Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku
Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana
Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar
Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka
Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana
Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua
Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji
Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
Unatumia Nokia tochi au? Haya soma hiyoooYaan unaleta mada then una tupa sisi kazi ya kukutafutia reference hoja dhaifu kama izi JF wangekuwa wana zifuta tu
Kumbe upo shimoni? Kilimanjaro matokeo yote kila mwaka STD 4,std 7,form two,form four na six ipo kumi Bora,mathalami,kila mwaka matokeo ya form four inakuwa ya Kwanza kitaifaKilimanjaro inafanya vizuri kielimu matokeo ya kidato cha ngapi na mwaka gani?
Una data au umekariri tu?
Muulize wakati Kenya wanapasuana kulikua na majimbo? Kupigana kupo tu bila hata majimbo...lakini kama tumeweza kuvumiliana toka 1961 TZ hatuez pigana tenaMarekani majimbo yapo au hayapo?waafrika ngozi nyeusi sijui katuloga nani
Ndugu umaskini ni tofauti na ninacho muomba mtoa UZI alete , alete taarifa ya mapato ya mkoa wa kilimanjaro achana na maswala ya kiwango cha umaskin ..Unatumia Nokia tochi au? Haya soma hiyoooView attachment 1660840
Israel inayo ardhi? Lakini imejikamilisha kila kitu. Kwani ardhi ndo sababu? Mnakimbilia ukabila tu. Huko marekani vipi? Kwamba hayo majimbo hakuna wawekezaji wengine wa mataifa mengine na makabila mengine? Hawalipi kodi? Ama wanaendesha shughuli zao bure?Nonsense thread ever huko kili mnayo ardhi? wewe unazunguka tu mbuyu kuwa muwazi
Mbona umewekewa huko juu? Unataka utafuniwe kila kitu wewe ni mtoto? Hizi hasira utakufa siko si zakoNdugu umaskini ni tofauti na ninacho muomba mtoa UZI alete , alete taarifa ya mapato ya mkoa wa kilimanjaro achana na maswala ya kiwango cha umaskin ..
Ww kwa icho ulicho bandika jiulize unahisi mapato ya mkoa wa mwanza ni sawa na Njombe ? Au mkoa wa Geita sawa na Songwe ? Ukipata jibu kishanuondoe takataka uliyo attach hapo ...
Unashabikia kitu uaicho kielewa ndugu taarifa ya kimapato ya kimkoa tofauti na kiwango cha umaskiniMbona umewekewa huko juu? Unataka utafuniwe kila kitu wewe ni mtoto? Hizi hasira utakufa siko si zako