Makato ya HESLB ni kiasi gani?

Makato ya HESLB ni kiasi gani?

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,705
Hawa HESLB hata siwaelewi, wanaongea tuu na kupiga kelele. lakini hawasemi makato ni asilimia ngapi ya pato la mtu.

Ndio maana watu wanaohopa wasije jipeleka huko wakaishia kulipa fedha nyingi na kuongeza ugumu wa maisha.

Wanayakiwa kuweka wazi na wadai wachangie ili kuboresha mfumo mzima utakao wapa wepesi warejeshaji.

Vitisho wanavyo toa si njia sahihi, njia sahihi ni kuboresha mfumo.

Mfano mtu kamaliza chuo na kajiajili utampata wapi kwa mfumo wa sasa. Inavyo onyesha hawajajipanga kabisa wanapiga kelele kuogopa rungu la magufuli.

Labda mimi ndio sijui makato yamekaaje , wanao jua watujuze.
 
Mimi suhusiki, nilipewa fedha na wizara, board ilikuwa haijazaliwa, sinamkataba nao
 
Mkuu wakati unasaini mkataba hukuusoma?
 
Makato yanategemea na kiasi cha mshahara unaopokea kuna wanaokatwa asilimia 8 na wengine mpaka 10.
 
Mimi suhusiki, nilipewa fedha na wizara, board ilikuwa haijazaliwa, sinamkataba nao
Serikali ni moja. Kama ulipewa kupitia wizara kumbuka hiyo ni pesa ya Serikali. Angalia mkataba wako na Wizara una terms zipi kabla hujajipa comfort mfu
 
Mimi nakatwa elfu 57 kwa mwezi. Ila hawa loan board ni wabaguzi wanatukaba sana sisi walimu huku wakiacha kada nyingine wakila bata sijui kwa nini.
 
Mimi suhusiki, nilipewa fedha na wizara, board ilikuwa haijazaliwa, sinamkataba nao
Hata mimi mkuu. Ila kabla hawajaanza kudai au kukata inabidi wamwambie mdaiwa wanamdai jumla ya shilingi ngani wakionesha mchanganuo wote wa jinsi walivompa hizo pesa.
 
Hawa bodi mimi siwaelewi kabisa nawaona kama wana kimbia kivuli chao,hivi kweli wanashindwa kukusanya hiyo mikopo hata kwa wafanyakazi walio ajiriwa serekalini na kwenye mashirika ya Umma?,

Wacha niwaelekeze cha kufanya Nendeni Hazina na Utumishi kuu,pale utumishi kuu mtapata taarifa za watumishi wote ambao ni wanufaika wa hiyo mikopo yenu kwa pale hazini mtapata taarifa ya mapato ya huyo mtumishi
Kwa secta binafsi nendeni mamlaka ya mapato huko mtapata taarifa za hizo taasisi na watumishi wao

Kimbembe ni kwa walio jiajiri wenyewe LABDA KAMA NIDA INGEKUWA IMESHA TOA KITAMBULISHO KWA WA TZ WOE,Hapo ingekuwa simpo kuwabaini.
Kwa mtazamo wangu wenye wajibu wa kutoa taarifa ni mwajiri,mbona bima ya afya na makato ya kodi ya mshahara hukatwa pindi tu uanzapo ajira,nyie BODI YA MIKOPO SI MLIKUWEPO KABLA YA BIMA YA AFYA?
 
Sema ukweli tu haukuwa na vigezo vya kupewa mkopo.
mkuu huwezi amini nilikua na vigezo vyote ... ila acha tu ase...namshukuru sana baba yangu na kumuombea sana maisha marefu..maana alikua ana staafu na ana malimbikizo nono enzi mie naanza chuo, akaniambia nitulize kitenesi amalize jukumu lake la mwisho kwangu
 
Hawa HESLB hata siwaelewi, wanaongea tuu na kupiga kelele. lakini hawasemi makato ni asilimia ngapi ya pato la mtu.

Ndio maana watu wanaohopa wasije jipeleka huko wakaishia kulipa fedha nyingi na kuongeza ugumu wa maisha.

Wanayakiwa kuweka wazi na wadai wachangie ili kuboresha mfumo mzima utakao wapa wepesi warejeshaji.

Vitisho wanavyo toa si njia sahihi, njia sahihi ni kuboresha mfumo.

Mfano mtu kamaliza chuo na kajiajili utampata wapi kwa mfumo wa sasa. Inavyo onyesha hawajajipanga kabisa wanapiga kelele kuogopa rungu la magufuli.

Labda mimi ndio sijui makato yamekaaje , wanao jua watujuze.
8 percent of your gross salary
 
mkuu huwezi amini nilikua na vigezo vyote ... ila acha tu ase...namshukuru sana baba yangu na kumuombea sana maisha marefu..maana alikua ana staafu na ana malimbikizo nono enzi mie naanza chuo, akaniambia nitulize kitenesi amalize jukumu lake la mwisho kwangu
Basi vigezo vya kupewa mkopo hukuwa navyo kama baba tayari mstaafu walijua atapewa mafao yake na ataweza kukugharamia ndio maana kulikuwq na kipengele cha wazazi wanajishughulisha na nini?
 
Si mliandamana kudai mkopo...muandamane pia kwenda kulipa

Km hujapata ajira okota ht makopo uuze

Dawa ya deni kulipa
 
8% ya take home yako, ukienda pale mwenge kwenye ofc zao watakuelekeza, wanakataa boom, stationery, fees nk hela yao yoote waliyokupa, na ukichelewa wanaangalia muda ulio maliza chuo na thamani ya fedha kwasasa
 
Basi vigezo vya kupewa mkopo hukuwa navyo kama baba tayari mstaafu walijua atapewa mafao yake na ataweza kukugharamia ndio maana kulikuwq na kipengele cha wazazi wanajishughulisha na nini?

well all in all am off the hook...
 
Back
Top Bottom