Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Leo kwa mara ya kwanza nimetumia Airtel Master card baada ya kuwa ninatumia M-Pesa Master Card kwa muda.
Nilichogundua Airtel wana makato makubwa yaani more than twice ya M-Pesa.
Nilikuwa nalipia kitu Google Play kina thamani ya 9000 ambapo nikitumiaga M-Pesa naweka 11000 na change inabaki ila kwa Airtel wamekata 12500 which means gharama ni 3500.
Nilichogundua Airtel wana makato makubwa yaani more than twice ya M-Pesa.
Nilikuwa nalipia kitu Google Play kina thamani ya 9000 ambapo nikitumiaga M-Pesa naweka 11000 na change inabaki ila kwa Airtel wamekata 12500 which means gharama ni 3500.