MAKASA: Bi Mkubwa (Mama mkwe)

MAKASA: Bi Mkubwa (Mama mkwe)

BI MKUBWA
( sehemu ya 13 )

Endeleaa..................

Mume wangu akatoka mbio kuja chumbani kwetu akanishika mkono na kuniambia njoo uone maajabu, tulipofika sebuleni cha ajabu tukamkuta mama mkwe na yule mchaWi aliyekuwa amenasa Nyumba ya jirani, wakiwa wamevaa nguo zao nyeusi na viremba vyeupe kichwani wakiwa wameshika zana zao za kichawi

"Mwanangu usiogope njoo ukae tuonge.
"Mmeingiaje nyie?
"Mwanangu tutaongea kaa kwanza chini

Mume wangu alisogea kwenye kochi na kukaa na Mimi nikasogea pembeni yake nikakaa, mume wangu alikuwa anatetemeka sana na kijasho chembamba kikimtoka. Mimi niliona kawaida tu sababu nilishawa kuona wakiwa hali hile.

"Mwanangu naomba nisamehe kwa yote niliyokutendea?
" Sawa mama, nishakusamehe nyie ondokeni tu hapa.
"Mwanangu nitaondokaje hapa na Mimi ndio mama ako.
"Ndio lakini majirani wanajua wewe tushakuzika,
"Mimi hamkunizika, wakati nyie mnahangaika kwenda kuzika mimi nilikuwa nawaangalia tu.
"Ulikuwa wapi ?
"Nilikuwa humu humu ndani na huyu kijana,
"Ina maana mama ile maiti sio yako?
"Sio yangu, ile maiti in kwamba mzee kipesani alikuja nayo ila tulitoa tu kopy ya mwili wangu.
"Sasa mama utaishije na watu wanajua umekufa?
"Kuanzia saiz nitaishi hivi unavyoniona na hakuna MTU atakaye niona zaidi yenu nyinyi na watu wa jamii yetu.
"Sasa utaenda kuishi wapi mama?
"Mimi nitaishi sehemu yoyote ila hiki chumba nilichokuwa nalala usifungue kuanzia saizi.
"Mama kwanini nisifungue?
" mwanangu naomba usifungue, ndio maana saiz nipo hapa kukueleza jambo hilo.
"Sawa mama basi ondokeni sisi hatutafungua hicho chumba.
"Sawa mwanangu sisi tunaondoka zingatia nilichokuambia.

Mama mkwe na yule kijana wakatoweka kimuijiza, wakaanza safari ya kumfuta yule polisi aliyekuwa anawahoji pale kituo cha polisi, walipofika kwake wakamchukua wakamtoa nje ya geti wlianza kumpiga fimbo balabala kwa kutumia ile misinga walioibeba.

Walipomaliza kumpa kipigo wakamchukua na kumpelek sebuleni na kuanza kumhoji.

"Afande unaendeleaje?
".......... ( kimywa )
"Huyu tumtoe nje tukampe anachostahili kupata ( alisema yule kijana aliyekuwa kanaswa )
"Msinitoe, mimi naendelea vizuri tu
"Sawa, sasa tumefika hapa Kwa swala moha tu,
"Swala gani?
"Umeandaa taarifa ya kwamba huyu kijana afuatwe Kule mahande.
"Ndio
"Waamulu wale polisi wasifanye hivyo sawa?
"Sawa nitafanya hivyo.
"Kingine sisi tutakuwa wageni wako hapa kesho?
"Wageni wangu kivipi?
"Utajua kesho ikifika, sawa?
" Hiyo itakuwa ngumu sana.
"Kwahiyo hutaki?

Bahati nzuri wakati huo huo yule kijana akapokea ujumbe kutoka Kwa mkuu wao mzeee kipesani,
"Mama kuna taarifa hapa imefika
"Kutoka Kwa nani?
"Mzee kipesani
"Inasemaje?
"Kuna kikao cha dharula.
"Sawa basi twende
"Sawa mama
"Alafu wewe afande kesho usisahau tutafika hapa mda wowote

Bimkubwa na yule kijana wakaondoka chapuchapu, afande alibaki na mtihani wa kuingia chumbani kwake, akamgongea mke wake mlango wa chumbani kwao
"Mke wangu?
"Abeee
"Nifungulie mlango
"Kwani umetokaje humu ndani?
"Si nilikuwa nimefungua mke wangu
"Sasa nani kafunga?
"Itakuwa wewe uliyebaki ndani
"Mimi mbona nilikuwa nimelala
"Basis yaishe mke wangu
"Kwani ulitoka kufanya nini?
" kunywa maji mke wangu
"Sawa .

Bimkubwa na yule kijana waliwasili Kwa mzee kipesani walikuta wamewaandali sherehe ya kuwapongeza kwa kuweza kutoroka kituo cha polisi.
"Tumewaiteni hapa kuwapokenga
"Tunashukuru SANA mzee kipesani

Basi watu walianza shamra shamra za sherehe za kuwapongeza Kwa kufanikiwa kutoroka kituo chA polisi na wachawi siku hiyo walikuwa wengi sana

Mzee kipesani akaanza kutoa hotuba kwa wachawi walio alikwa alipomaliza walitoa zawadi Kwa bimkubwa na yule kijana, walitoa zawadi ya wasichana watatu mabikra.

Baada ya mzee kipesani kutoa hotuba na kuwapa zawadi bimkubwa nae akasinama na kutoa shukurani zake kwa wachawi walikusanyika sehemu ya tukio.

Sasa jamani hii zawadi mliyotupa hatutakula sisi peke yetu ni ya sisi sote tutakula pamoja na tushereheie pamoja

Bimkubwa akamchukua binti mmoja akamfunga yule binti machoni Kwa kitambaa chekundu akachukua kitambaa kingine akamfunga mdomoni, kisha akachukua kisu chakea akapitisha shingoni kwa yule binti, damu ikaluka juu kila mchawi aliyekuwepo pale akakimbilia pale mbele na kuanza kudaka ile damu kwa kutumia mdomo na kuanzwa kuinywa.

Baada ya kumaliza zoezi hilo mama mkwe akachukua kisu chake akakata ziwa LA kulia na kulitafuna akakata ziwa LA kushoto akampa yule kijana naye akatafuna,

walipomaliza zoezi hilo wakakata paja moja na kuondoka nalo, ndipo wakawaalika wale wachawi na kuwaambia kila mmoja akate sehemu anayohiitaje na ale na sharti kila mmoja ale bila yakuondoka na nyama yoyote.

Hatimaye muda nao haukuwa rafiki kukakucha, afande alipowasili kituoni akasitisha ile safari ya kumfatilia yule kijana,

Majira ya SAA tano bimkubwa akakata lile paja na kumpa yule kijana apeleke kwa yule afande, kijana aliwasili Kwa yule afande akamkuta mke wa yule afande akampa lle nyama.
"Shikamo
"Marahaba, hujambo
"Sijambo
"Vipi kaka unasemaje
"Afande kanituma nilete hii nyama

Itaendelea ...............
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 14 )

Endeleaa.................

Majira ya SAA tano bimkubwa akakata lile paja na kumpa yule kijana apeleke kwa yule afande, kijana aliwasili Kwa yule afande akamkuta mke wa yule afande akampa lle nyama.
"Shikamo
"Marahaba, hujambo
"Sijambo
"Vipi kaka unasemaje
"Afande kanituma nilete hii nyama
"Sawa kaka, Asante
"Sawa kwahery

Baada ya kukabizi nyama akaludi Kwa bimkubwa, kile chumba ambacho bimkubwa alimwambia mwanae asifungue ndio kikawa chumba cha kulala bimkubwa na yule kijana, na walikuwa wanatumia chumba hicho kwa siri bila mwanae kujua.

Baada ya yule kijana kuwasili kwa bimkubwa baada ya maongezi kidogo bimkubwa akakumbuka kuwa ile nyama haipikwi na ili ipikwe na iive lazima uweke dawa.

Basi bimkubwa na yule kijana wakajiandaa kwa ajili ya kwenda kwa afande kama walivyomuhaidi usiku.

Mke wa afande baada ya kupewa ile nyama akakata na kuanza kuipika , chakushangza toka alivyo anza kupika majira ya SAA sita kasoro hadi inatimia SAA saba kasoro haikuweza kuiva.

Bimkubwa na yule kijana walimaliza kujiandaa majira ya SAA saba na dakika kumi waliwasili Kwa afande. Baadaya kufika kwa afande, mke wa afande akawakaribisha wakaingia hadi ndani,

Baada ya kusalimiana akawauliza maswali kidogo kutaka kuwatambua bimkibwa akajieleza yeye nishangazi take afande, basi akaangalia kinywaji kwenye friji akakosa ikabidi awaage wageni wake kidogo kwenda dukani kununua vinywaji.

Wakati mke wa afande anaenda kununua kinywaji bimkubwa akawa amepata mda wa kwenda jikoni kuweka ile dawa kwenye nyama ili iive.

Mke wa afande alipoludi kutoka dukani akawapa vinywaji wageni wake na kwenda jikoni kuangalia mboga yake, alipofunua mfuniko aliona mboga sasa ipo tayari imeiva, akaiunga alipomaliza akapika ugalia akawawekea wageni wake na yeye akachukua ugali wake akakaa pembeni wakaanza kula.

Mda huo wakati wanaanza kula mlango uliogwa akaingia afande akastaajabu kuwaona wale wachawi walio mhaidi kuwa wageni wake wapo ndani. Kutokana na kujua kilichotokea usiku ilibidi avunge kama anawajua.

Akawasalimia baada ya salamu mke wake akamwandalia chakula basi wote wakawa wanakula, mke wa afande wakati anakula alishangaa sana kila akimega nyama kipande cha nyama kilikuwa hakiishi, lakini hakusema kwa mtu kutokana na kuogopa wale wageni

Afande nae alishanga kuona ile nyama ikiwa na mafuta mengi kuliko kawaida na kila alipokuwa akikata nyama ilikuwa haiishi ikabidi amuulize mke wake.

"Mke wangu
"Abee
"Hii nyama wakati unanunua hukuona mafuta in mengi, kwanini hukuchagua nyingine?
"Hii nyama ni ile uliyomtuma Huyu kijana alete asubuhi.
"Lini?
"Leo asubuhi, au umesahau?
"Mbona sikumbuki.

Yule kijana akadakia mada mzee hii nyama in ile ya asubuhi uliyonipa Mimi nilete, bimkubwa nae hakuwa mzembe akamfinyia jicho afande, ndipo afande akaelewa somo kuwa hii nyama sio kabisa.

Baada ya kuona hivyo afande akaacha kula na kutoka pale na kwenda chumbani kwake, akamtumia SMS mke wake ""usile hiyo nyama"" mke wake akashangaa akatoka pale na kumfuta mme wake chumbani alipofika alikumkuta Mme wake kajiinamia.

"Mme wangu vipi?
"Matatizo mke wangu
"Matatizo gani mme wangu
"Hii nyama tunayokula
"Imefanyaje ?
"Sijui hata nianzie wapi
"Mme wangu mbona unanitisha
"Hii nyama hujahisi chochote mke wangu?
"Mme wangu hilonimeliona nakula nyama ila haiishi
"Ni tatizo kubwa mke wangu
"Hebu niambia ni nini?
"Hii nyama nahisi ni nyama ya binadamu
"Mme wangu ebu niambie kinachoendelea

Afande ilibid ampe story Kwa ufupi kuhusu wale wageni kuanzia mwanzo hadi mwisho, baada ya afande kumpa mke wake story ya wale wageni mke wa afande akachukua bastola ya mme wake na kutoka kule chumbani na kuwafuta wale wageni sebuleni.

Alipofika sebuleni hakufanijiwa kuwaona wale wageni, alipo angalia chakula walichokuwa wanakula kipo ila hakuna mboga alipo angalia chakula chake aligundua kuwa chakula kipo ila mboga haipo.

Akaenda moja kwa moja jikoni pia hakuikuita mboga aliyokuwa kapika akaludi kwa mme wake.....
"Mme wangu wageni hawapo
"Kama nilivyokuambia mke wangu
"Kama ulivyoniambia nini?
"Hawa wageni ni waajabu
"Kwanini hukuniambia wakati unafika , wakati ulijua wageni sio wa kawaida
"Ningeanzaje mke wangu?
"Ungeanza kama ulivyoanza saizi.
"Mke wangu sio laisi hivyo kama unavyofikilia.
"Alafu sasa ile nyama walioleta wameondoka nayo.
"Bora hata wameondoka nayo
"Siamini kama leo ninekula nyama ya binadamu mwenzangu.
"Mke wangu naomba hili lililotokea hapa leo liwe siri yetu
"Kwanini?
"Itakuwa aibu sana,
"Aibu ya nini?
"Watu wakijua tumekula nyama ya mtu
"Mme wangu tusiposema wataendelea na Kwa wengine bora tuseme wengine wasalimiki
"Mke wangu tunaanzaje kusema kwa watu tumekula nyama ya binadamu,
"Mme wangu hiyo siri yako leo imetufanya kula hii nyama, unadhani ungesema mapema kilichokukuta usiku Mimi ningeweza kuwapokea hawa wageni, ningejihami kupokea hawa wageni
"Sawa mke wangu, ila hiyo kazi ya kuanza kusema umekula nyama ya binadamu sio laisi kama unavyofikilia.

Kumbe wakati wanazungumza hayo bimkubwa na yule kijana walikuwa hawajaondoka walikuwa pale ndani lakini walikuwa katika hali ya uchawi ambayo wao walikuwa hawajawaona.

ITAENDELEA......
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 14 )

Endeleaa.................

Majira ya SAA tano bimkubwa akakata lile paja na kumpa yule kijana apeleke kwa yule afande, kijana aliwasili Kwa yule afande akamkuta mke wa yule afande akampa lle nyama.
"Shikamo
"Marahaba, hujambo
"Sijambo
"Vipi kaka unasemaje
"Afande kanituma nilete hii nyama
"Sawa kaka, Asante
"Sawa kwahery

Baada ya kukabizi nyama akaludi Kwa bimkubwa, kile chumba ambacho bimkubwa alimwambia mwanae asifungue ndio kikawa chumba cha kulala bimkubwa na yule kijana, na walikuwa wanatumia chumba hicho kwa siri bila mwanae kujua.

Baada ya yule kijana kuwasili kwa bimkubwa baada ya maongezi kidogo bimkubwa akakumbuka kuwa ile nyama haipikwi na ili ipikwe na iive lazima uweke dawa.

Basi bimkubwa na yule kijana wakajiandaa kwa ajili ya kwenda kwa afande kama walivyomuhaidi usiku.

Mke wa afande baada ya kupewa ile nyama akakata na kuanza kuipika , chakushangza toka alivyo anza kupika majira ya SAA sita kasoro hadi inatimia SAA saba kasoro haikuweza kuiva.

Bimkubwa na yule kijana walimaliza kujiandaa majira ya SAA saba na dakika kumi waliwasili Kwa afande. Baadaya kufika kwa afande, mke wa afande akawakaribisha wakaingia hadi ndani,

Baada ya kusalimiana akawauliza maswali kidogo kutaka kuwatambua bimkibwa akajieleza yeye nishangazi take afande, basi akaangalia kinywaji kwenye friji akakosa ikabidi awaage wageni wake kidogo kwenda dukani kununua vinywaji.

Wakati mke wa afande anaenda kununua kinywaji bimkubwa akawa amepata mda wa kwenda jikoni kuweka ile dawa kwenye nyama ili iive.

Mke wa afande alipoludi kutoka dukani akawapa vinywaji wageni wake na kwenda jikoni kuangalia mboga yake, alipofunua mfuniko aliona mboga sasa ipo tayari imeiva, akaiunga alipomaliza akapika ugalia akawawekea wageni wake na yeye akachukua ugali wake akakaa pembeni wakaanza kula.

Mda huo wakati wanaanza kula mlango uliogwa akaingia afande akastaajabu kuwaona wale wachawi walio mhaidi kuwa wageni wake wapo ndani. Kutokana na kujua kilichotokea usiku ilibidi avunge kama anawajua.

Akawasalimia baada ya salamu mke wake akamwandalia chakula basi wote wakawa wanakula, mke wa afande wakati anakula alishangaa sana kila akimega nyama kipande cha nyama kilikuwa hakiishi, lakini hakusema kwa mtu kutokana na kuogopa wale wageni

Afande nae alishanga kuona ile nyama ikiwa na mafuta mengi kuliko kawaida na kila alipokuwa akikata nyama ilikuwa haiishi ikabidi amuulize mke wake.

"Mke wangu
"Abee
"Hii nyama wakati unanunua hukuona mafuta in mengi, kwanini hukuchagua nyingine?
"Hii nyama ni ile uliyomtuma Huyu kijana alete asubuhi.
"Lini?
"Leo asubuhi, au umesahau?
"Mbona sikumbuki.

Yule kijana akadakia mada mzee hii nyama in ile ya asubuhi uliyonipa Mimi nilete, bimkubwa nae hakuwa mzembe akamfinyia jicho afande, ndipo afande akaelewa somo kuwa hii nyama sio kabisa.

Baada ya kuona hivyo afande akaacha kula na kutoka pale na kwenda chumbani kwake, akamtumia SMS mke wake ""usile hiyo nyama"" mke wake akashangaa akatoka pale na kumfuta mme wake chumbani alipofika alikumkuta Mme wake kajiinamia.

"Mme wangu vipi?
"Matatizo mke wangu
"Matatizo gani mme wangu
"Hii nyama tunayokula
"Imefanyaje ?
"Sijui hata nianzie wapi
"Mme wangu mbona unanitisha
"Hii nyama hujahisi chochote mke wangu?
"Mme wangu hilonimeliona nakula nyama ila haiishi
"Ni tatizo kubwa mke wangu
"Hebu niambia ni nini?
"Hii nyama nahisi ni nyama ya binadamu
"Mme wangu ebu niambie kinachoendelea

Afande ilibid ampe story Kwa ufupi kuhusu wale wageni kuanzia mwanzo hadi mwisho, baada ya afande kumpa mke wake story ya wale wageni mke wa afande akachukua bastola ya mme wake na kutoka kule chumbani na kuwafuta wale wageni sebuleni.

Alipofika sebuleni hakufanijiwa kuwaona wale wageni, alipo angalia chakula walichokuwa wanakula kipo ila hakuna mboga alipo angalia chakula chake aligundua kuwa chakula kipo ila mboga haipo.

Akaenda moja kwa moja jikoni pia hakuikuita mboga aliyokuwa kapika akaludi kwa mme wake.....
"Mme wangu wageni hawapo
"Kama nilivyokuambia mke wangu
"Kama ulivyoniambia nini?
"Hawa wageni ni waajabu
"Kwanini hukuniambia wakati unafika , wakati ulijua wageni sio wa kawaida
"Ningeanzaje mke wangu?
"Ungeanza kama ulivyoanza saizi.
"Mke wangu sio laisi hivyo kama unavyofikilia.
"Alafu sasa ile nyama walioleta wameondoka nayo.
"Bora hata wameondoka nayo
"Siamini kama leo ninekula nyama ya binadamu mwenzangu.
"Mke wangu naomba hili lililotokea hapa leo liwe siri yetu
"Kwanini?
"Itakuwa aibu sana,
"Aibu ya nini?
"Watu wakijua tumekula nyama ya mtu
"Mme wangu tusiposema wataendelea na Kwa wengine bora tuseme wengine wasalimiki
"Mke wangu tunaanzaje kusema kwa watu tumekula nyama ya binadamu,
"Mme wangu hiyo siri yako leo imetufanya kula hii nyama, unadhani ungesema mapema kilichokukuta usiku Mimi ningeweza kuwapokea hawa wageni, ningejihami kupokea hawa wageni
"Sawa mke wangu, ila hiyo kazi ya kuanza kusema umekula nyama ya binadamu sio laisi kama unavyofikilia.

Kumbe wakati wanazungumza hayo bimkubwa na yule kijana walikuwa hawajaondoka walikuwa pale ndani lakini walikuwa katika hali ya uchawi ambayo wao walikuwa hawajawaona.

ITAENDELEA......
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 15 )

Endeleaa...............

Kumbe wakati wanazungumza hayo bimkubwa na yule kijana walikuwa hawajaondoka walikuwa pale ndani lakini walikuwa katika hali ya uchawi ambayo wao walikuwa hawajawaona.

Baada ya kusikia mke wa afande anataka kutoa siri ya kuwa mme wake amekaribisha wageni ambao ni wachawi na wamewasababishia kula nyama ya binadamu bimkubwa na yule kijana wakajitokeza, baada ya kujitokeza mke wa afande alipowaona akadondoka na kupoteza fahamu.

Mke wa afande baada ya kudondoka bimkubwa na yule kijana wakamwambia afande......
"Muonye mke wako ole wake hii siri itoke
"Sawa Mimi nitamuonya.
"Sasa wewe sema untamuonya alafu siri hii itoke utanijua Mimi nani.
"Haitatokea hiyo mimi akizinduka nitamuonya hatoweza kusema.
"Sawa sisi tunaondoka
"Sawa, ila naomba msimzuri mke wangu
"Sawa tumekuelewa

Bimkubwa na yule kijana wakaondoka nyumbani kwa afande, afande alijitahidi kumwagia mke wake maji baada ya nusu SAA mke wake akazinduka na kuanza kuuliza kilichoendelea wakati yeye alipokuwa kazimia.
"Vipi mme wangu?
"Safi unajisikiaje.
"Najisikia vizuri tu, vipi hawa watu wameondoka.
"Ndio wameondoka ila wamesema kwamba usiseme chochote ulichokiona hapa.
"Daaa hawa watu kweli ni hatari kumbe walikuwa hawajaondoka?
"Mimi nilikwambia mke wangu hawa watu hawafai .
"Sasa tunafanyaje Mme wangu
"Hapa cha kwanza twende Kwa mchungaji.
"Kufanya nini?
"Tukamweleze haya yaliyotokea anaweza kutusaidia.
"Wachungaji wenyewe wa simu hizi hawa hata siwaamini?
"Mke wangu inabidi tufanye hivyo jioni twende Kwa mchungaji mimi naona atatusaidia tu.
"Sawa Mme wangu saa kumi na mbili basi twende kwa huyo mchungaji.

Bimkubwa na yule kijana walipotoka nje ya Nyumba ya afande nao walikuwa na mazungumzo yao......
"Mama, mimi naona wewe utangulie.
"Wewe unaenda wapi?
"Mimi nataka kujua hawa watafanya nini baada ya hill kutokea
"Hapo umesema kweli, sasa wewe utabaki hapa uchunguze vizuri futilia hatua Kwa hatua wanachokifanya
"Sawa mama, tutaonana baadae basi
"Sawa baadae, kwahery

Ilipotimu SAA kumi na moja na nusu jioni afande na mke wake wakatoka na kuelekea Kwa mchungaji, baada ya kufika Kwa mchungaji afande akaanza kumweleza mchungaji kisa kizima kilivyotokea nyumbani kwake,

Wakati afande anamweleza mchungaji kisa hicho, yule kijana akakimbia kwa bimkubwa na kumwekeza kuwa afande na mke wake wameenda Kwa mchungaji
"Mama nimewafutilia nimewaona wameingia kwenye ile nyumba ya mchungaji.
"Hahahaaaaaa, yule mchungaji wanamjua vizuri kweli.
"Watajua wenyewe
"Sawa hill halinashida waache wasumbuke.

Baada ya afande kumweleza shida yake mchungaji, mchungaji akawahaidi SAA mbili kufika nyumbani kwao Kwa ajili ya maombi, afande na mke wake waliondoja na kuludi kwao.

Baada ya afande na mke wake kuondoka, ilipotimu SAA moja na nusu bimkubwa aliwasili Kwa mchungaji......
"Mchungaji unaendeleaje?
"Mimi naendelea vizuri, sijui wewe?
"Mimi nipo vizuri, naona wageni wangu walikuja kwako?
"Hahaaaaa, walikuja mimi nilikuwa nawasikiliza tu.
"Kwahiyo umewafanyia maombi?
"Maombi ya nini bwana.
"Kwahiyo umewaambua nini?
"Nimewambia nitaenda kwao SAA mbili
"Vizuri sana unaonaje tukienda wote SAA mbili?
"Haina shida wewe tena wakuuliza swala hili
"Yaani itakuwa bonge LA suprise kwao
"Alafu mda ushafika kama upo tayari twende saizi.
"Mimi nipo tayari mchungaji twende tu.

Ilipotimu SAA mbili na dakika kumi mchungaji na bimkubwa waliwasili kwa afande, baada ya kufika Kwa afande waligonga......
"Hooodi, hoodi, hoodi humu ndani
"Karibu ndani
"Mchungaji na binkubwa wakaingia hadi ndani
'"Zasaizi mama
"Safi tu
"Wote mpo maana tumechelewa, tufanye maombi tuondoke sisi
"Ndio , wote tupo ngoja nimwite mume wangu yupo chumbani

Mke wa afande akaingia chumbani kumwita Mme wake......
"Mme wangu
"Niambie..
"Mchungaji kaja
"Daaa bora
"Bora nini?
"Mchungaji alivyofika
"Hakuna cha bora wala nini
"Kwa nini unasema hivyo mke wangu
"Kaja na kihoja
"Kihoja cha nini?
"Njoo uone

ITAENDELEA......
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 16 )

Endeleaa.............

Mke wa afande akaingia chumbani kumwita Mme wake......
"Mme wangu
"Niambie..
"Mchungaji kaja
"Daaa bora
"Bora nini?
"Mchungaji alivyofika
"Hakuna cha bora wala nini
"Kwa nini unasema hivyo mke wangu
"Kaja na kihoja
"Kihoja cha nini?
"Njoo uone
"Kuna nini mke wangu
"We uje uone mwenyewe

Afande akatoka chumbani kwao na kumkuta mchungaji akiwa ameongizana na bimkubwa....

"Mchungaji za saizi
"Safii
"Ndio umekuja kwa ajili ya maombi
"Ndio
"Sisi tunadharula uje mda mwingine, samahani sana mchungaji
"Sawa haina shida, ila nilitaka nikutambulishe, huyu mama ni mama wa kanisa nikaona bora nije nae maana unaweza ukaja mda mwingine ukanikosa mimi utakutana na Huyu mama
"Sawa mchungaji haina shida.
"Sawa, basi kwaherini
"Sawa safari njema

Baada ya mchungaji na bimkubwa kutoka mke wa afande akamuuliza mume wake......

"Si umeona sasa?
"Kuona nini?
"Nilikwambia nini?
"Kuhusu nini mke wangu?
"Wachungaji wa sasa sio kabisa,
"Mke wangu inawezekaba huyu mchungaji ajui tabia ya huyu mama.
"Hajui vipi wakati kwenye mazishi ya huyu mama alikuwepo
"Kweli kabisa mke wangu, upo sahihi.
"Sasa tunafanyaje mke wangu hali ndio hii
"Mimi naona kama vipi tungemtafuta yule mzee uliyenisimulia kuwa nyumbani Kwa mkwe wake alinasa yule kijana.
"Kweli kabisa mke wangu maana hata mimi sina chaguo lingine, wachungaji wenyewe ndio hivyo nuksi tupu.
"Tena iwe haraka Fanya mpango kesho kukicha mtafute
"Sawa mke wangu

Baada ya mchungaji na bimkubwa kuondoka Kwa afande wakati wanaludi kwao wakawa wanajadiliana njiani.......

"Mchungaji unadhani kweli wana safari hawa?
"Hawana safari wala nini,
"Sasa kwanini wametutoa pale?
"Wanajifanya wajanja wameshitukia mchezo
"Kwahiyo tufanyeji mchungaji?
"Saizi saa mbili na nusu tukajiandae tuje kwa stail nyingine
"Kweli kabisa mchungaji maana huyu afande alinihaibisha sana mbele ya wanangu
"Alikuhaibisha vipi?
"Yaani mchungaji maswali aliyokuwa ananiuliza yalikuwa yakutoa siri zote tunazofanya.
"Sawa basi leo atajuta kwanza na mimi alivyonisumbua kuja kwake bila ya kufanya maombi sijakuli.
"Sawa basi mchungaji mimi naenda pale nyumbani nikajiandae nakupitia mda sio mrefu
"Sawa haina shida, Alafu nilitaka kusahau wewe saizi unaishi wapi?
"Naishi pale pale nyumbani
"Unaishije na wanao walishajua ushazikwa
"Kile chumba nilichokuwa nalala haingii mtu ndio naishi mle
"Wanajua kama unaishi pale?
"Hapana
"Ila hiyo hatari sana siku wakija kujua itakuwa shida sana
"Sasa wewe unaona sehemu gani nyingine nzuri ya mimi kuishi
"Mimi naona bora ungefika kuishi pale makaburini kanisani kwangu naona kama kuna usalama
"Sawa, ila ngoja kwanza nijadiliane na yule kijana
"Sawa basi baadae kidogo
"Sawa mimi nafika sasa hivi sawa?
"Sawa

Baada ya kuachana na mchungaji bimkubwa akashika njia ya kuelekea kwake, Siku hiyo mimi na Mme wangu tulijadiliana tufungue mlango wa chumba alichokuwa analala bimkubwa tufanye usafi na tuone ni Kwa nini bimkubwa alisema tusiingie mle ndani

"Mme wangu mimi naona Leo tufungue huu mlango ?
"Kwa nini?
"Ni mda mrefu hatujafungua na bimkubwa hatujamwona tena?
"Kwahiyo ndio tufungue
"Ndio,
"Ila tulimhahidi hatuta fungua huu mlango
"Tufungue Leo tu tufanye usafi mme wangu
"Sawa mke wangu haina shida

Baada ya mume wangu kukubali kufungua kile chumba niliingia chumbani kwetu na kuchukua ufunguo wa kile chumba na kumkabizi mume wangu akafungue kile chumba.

Mume wangu alichukua ule ufunguo na kwenda moja Kwa moja kufungua kile chumba, alifungua ule mlango akaingia ndani, gafra nikasikia sauti ya mume wangu ""mamaaaaaa"""

Nikakimbia mbio kwenda kumwangalia, nilipofika chumbani nilimkuta kadondoka, wakati naangalia jinsi ya kumsaidia nilishangaa kumwona yule kijana aliyekuwa amenasa nyumba ya jirani, cha ajabu zaidi niliona paja Kubwa LA mguu wa MTU pamoja na wasichana wawili ambao walikuwa kama hawajitambui,

Wakati nambeba mume wangu nimtoe kwenye kile chumba nikashangaa mlango unafungwa, nikapigwa na butwaa baada ya kumuona bimkubwa akiwa amesimama mbele ya mlango wa kutokea chumbani.....

"Kilichowaleta huku ni nini?

ITAENDELEA......
 
BI MKUBWA
( sehemu ya 17 )

Endeleaa..............

Wakati nambeba mume wangu nimtoe kwenye kile chumba nikashangaa mlango unafungwa, nikapigwa na butwaa baada ya kumuona bimkubwa akiwa amesimama mbele ya mlango wa kutokea chumbani.....

"Kilichowaleta huku ni nini?
"Mama tusamehe.
"Niwasamehe nini?
"Hatuta ingia tena mama
"Sawa, lakini lazima nitoe adhabu
"Mama tusamehe
"Nishawasamehe, yaan Leo ilibidi muishie humu humu ila nitawapa adhabu ndogo tu.
"Mama usifanye hivyo, kumbuka sisi ni wanao
"Sina watoto ambao hawanisikilizi
"Mama.......
"Sikiliza wewe mwanamke chagua kimoja, kati yako wewe na mume wako mmoja awe bubu na mwingine awe kipofu,
"Mamaa hiyo adhabu in kubwa sana
"Sikiliza nyinyi usiku huu mtalala humu ndani na hawa wasichana nitakapo ludi alfajiri nataka unipe jibu kamili, sawa?
"Mama mbona utatupa mateso
"Kama hutaki nitawaweka humu ndani kama hawa wasichana
"Mama basi.

Bimkubwa akachukua usinga wake akamchapa nao mume wangu usoni, mume wangu nikamwona anaamka na kwenda kukaa pamoja na wale wasichana, akanichapa na mimi nikajikuta naamka na kwenda kujiunga na wale wasichana na mume wangu.

Bimkubwa na yule kijana wakavua nguo mbele yetu na kuvaa nguo zao nyeusi wakajifunga viremba vyeupe kichwani na kujivesha matunguli shingoni,

Wakatoka nje kupitia kona moja ya kile chumba, tulibaki mle ndani tukiwa watu ambao kama hatujitambui japokuwa mlango ulikuwepo hatukuwa na uwezo wa kufungua kutokana na kuwa na hakili zisizokuwa na uwezo wa kutambua nini cha kufanya.

Bimkubwa na yule kijana walimpitia mchungaji na kumfuta yule afande, walipofika Kwa afande walijadili ni adhabu gani ya kumpatia yule afande...

"Mchungaji hawa tuwape adhabu gani?
"Chagua wewe mama maana wewe ndio muhusika mkuu
"Wewe in MTU wangu wa kalibu unaweza kuchagua adhabu ya kuwapa.
"Alafu nimekumbuka kitu mama.
"Nini hicho mchungaji?
"Natarajia kupanua kanisa langu
"Kwahiyo?
"Hawa nataka niwaweke Kule mbele ya madhabau kuniongezea nguvu wakati wa kufanya maombi
"Lakini ilibidi wawe ndugu zako
"Ni ndugu zangu hawa
"Kivipi?
"Waumini wangu pale kanisani
"Sawa, lakini hiyo kazi mpaka utakapo anza kujenga hilo kanisa
"Ndio
"Ina maana Leo wasipate adhabu yoyote
"Lazima wapate?
"Adhabu gani tuwape?
"Leo tusiludi Kwa ndege,
"Una maanisha nini?
"Hawa leo tuwafanye farasi watuludishe hadi nyumbani
"Sawa haina shida
"Alafu nimekumbuka kitu?
"Kipi hicho?
"Leo najisikia hamu sana ya kufanya mapenz
"Sawa mchungaji na mimi Leo nafanya na huyo huyo afande wewe fanya na mke wake
"Na huyu kijana uliyekuja nae
"Akamchukue house girl wao.

Baada ya kukubaliana wakamchukua afande na mke wake na kuwatoa sebuleni, yule kijana nae akamchukua house girl wa afande na kumtoa sebuleni wote watatu waliwekwa sebuleni.

Mchungaji akachukua kitambaa chekundu na kuchovyo kwenye dawa akawapaka wote watatu sehemu zao za siri ( afande, mke wa afande na house girl wao ),

baada ya kumaliza kuwapaka dawa mchunga akanza kuvua nguo zake zote akabaki kama alivyozaliwa bimkubwa nae akafanya hivyo mwisho kijana nae akafanya hivyo,

Mchungaji akaanza kufanya mambo na mke wa afande bimkubwa na yule kijana nayo wakafuata, wote wakawa wanafanya shughuli hiyo wakiwa wanaimba imba nyimbo zao za kichawi,

Yule kijana akawa wa kwanza kumaliza shughuli bimkubwa nae akafuata mchungaji akawa wa mwisho kumaliza shughuli, baada ya kumaliza shughuli bimkubwa akasema.....

"Bimkubwa: Kijana mludishe huyu house girl chumbani kwake na uje uwachukue hwa uwaludishe chumbani kwao.
"Mchungaji: Hapana hawa Leo tuwaache hivi hivi wapate adabu
"Bimkubwa: sawa haina shida aibu yao hiyo kesho
"Mchungaji: Basi sisi tuondoke tukapumzike
"Bimkubwa: sawa, alafu mchungaji lile swala la kuwafanya wawe farasi vipi?
"Mchungaji: Kweli kabisa nilitaka kusahau

Baada ya kukumbuka swala hilo mchungaji akachukua dawa kwenye kichupa akaanza kuwanywesha afande , mke wake pamoja na house girl wao,

Baada ya kuwanyweshe ile dawa dakika kama moja wote wakawa kama farasi wakawapanda na kutoka nao, walipofika kwa mchungaji wakashuka mchungaji akawashauli wapande ungo waondoke yeye atawabadili wawe katika hali yao ya kawaida.

Bimkubwa na yule kijana wakapanda ungo na kuondoka, baada ya bimkubwa na yule kijana kuondoka mchungaji akawachukua ( afande, mke wa afande na house girl wao ) na kuwasogeza sehemu ya mbali na nyumbani kwake akawanyweshwa ile dawa baada ya dakika moja wote wakawa katika hali zao za kawaida ila wakiwa watupu, aliwalaza pembezoni mwa barabara na yeye akaondoka.

Bimkubwa na yule kijana walipofika nyumbani Kwa mwanae waliingia na kuwakuta kama walivyowaacha....

"Mama sasa hawa tuwafanyeje maana wamejua siri kubwa sana
"Kama nilivyosema mmoja awe kipofu mwingine bubu
"Hapana mimi naona hili swala tungewashilikisha na wezetu
"Wenzetu wakina nani?
"Kule mahande wakina mzee kipesani
"Sawa hill swala tutawashilikisha na hawa itabidi wakae humu hadi kesho tutakapomaliza kikao na mzee kipesani.

Hatimaye mda ulisonga mbele na kukakucha, asubuhi kulipo pambazuka watu waliokuwa wanapita maeneo ya karibu na kanisa waliwashuudia afande mke wake na house girl wao wakiwa wamelala kandokando ya barabara wakiwa uchi.

Watu walizidi kuongezeka kadri mda ulivyokuwa unazidi kwenda, walijalibu kuwaamsha lakini hawakuweza kufanikiwa kuamka

ITAENDELEA......
 
Daaah nachungulia kila wakati huku lakin hola
 
Back
Top Bottom