BI MKUBWA
( sehemu ya 17 )
Endeleaa..............
Wakati nambeba mume wangu nimtoe kwenye kile chumba nikashangaa mlango unafungwa, nikapigwa na butwaa baada ya kumuona bimkubwa akiwa amesimama mbele ya mlango wa kutokea chumbani.....
"Kilichowaleta huku ni nini?
"Mama tusamehe.
"Niwasamehe nini?
"Hatuta ingia tena mama
"Sawa, lakini lazima nitoe adhabu
"Mama tusamehe
"Nishawasamehe, yaan Leo ilibidi muishie humu humu ila nitawapa adhabu ndogo tu.
"Mama usifanye hivyo, kumbuka sisi ni wanao
"Sina watoto ambao hawanisikilizi
"Mama.......
"Sikiliza wewe mwanamke chagua kimoja, kati yako wewe na mume wako mmoja awe bubu na mwingine awe kipofu,
"Mamaa hiyo adhabu in kubwa sana
"Sikiliza nyinyi usiku huu mtalala humu ndani na hawa wasichana nitakapo ludi alfajiri nataka unipe jibu kamili, sawa?
"Mama mbona utatupa mateso
"Kama hutaki nitawaweka humu ndani kama hawa wasichana
"Mama basi.
Bimkubwa akachukua usinga wake akamchapa nao mume wangu usoni, mume wangu nikamwona anaamka na kwenda kukaa pamoja na wale wasichana, akanichapa na mimi nikajikuta naamka na kwenda kujiunga na wale wasichana na mume wangu.
Bimkubwa na yule kijana wakavua nguo mbele yetu na kuvaa nguo zao nyeusi wakajifunga viremba vyeupe kichwani na kujivesha matunguli shingoni,
Wakatoka nje kupitia kona moja ya kile chumba, tulibaki mle ndani tukiwa watu ambao kama hatujitambui japokuwa mlango ulikuwepo hatukuwa na uwezo wa kufungua kutokana na kuwa na hakili zisizokuwa na uwezo wa kutambua nini cha kufanya.
Bimkubwa na yule kijana walimpitia mchungaji na kumfuta yule afande, walipofika Kwa afande walijadili ni adhabu gani ya kumpatia yule afande...
"Mchungaji hawa tuwape adhabu gani?
"Chagua wewe mama maana wewe ndio muhusika mkuu
"Wewe in MTU wangu wa kalibu unaweza kuchagua adhabu ya kuwapa.
"Alafu nimekumbuka kitu mama.
"Nini hicho mchungaji?
"Natarajia kupanua kanisa langu
"Kwahiyo?
"Hawa nataka niwaweke Kule mbele ya madhabau kuniongezea nguvu wakati wa kufanya maombi
"Lakini ilibidi wawe ndugu zako
"Ni ndugu zangu hawa
"Kivipi?
"Waumini wangu pale kanisani
"Sawa, lakini hiyo kazi mpaka utakapo anza kujenga hilo kanisa
"Ndio
"Ina maana Leo wasipate adhabu yoyote
"Lazima wapate?
"Adhabu gani tuwape?
"Leo tusiludi Kwa ndege,
"Una maanisha nini?
"Hawa leo tuwafanye farasi watuludishe hadi nyumbani
"Sawa haina shida
"Alafu nimekumbuka kitu?
"Kipi hicho?
"Leo najisikia hamu sana ya kufanya mapenz
"Sawa mchungaji na mimi Leo nafanya na huyo huyo afande wewe fanya na mke wake
"Na huyu kijana uliyekuja nae
"Akamchukue house girl wao.
Baada ya kukubaliana wakamchukua afande na mke wake na kuwatoa sebuleni, yule kijana nae akamchukua house girl wa afande na kumtoa sebuleni wote watatu waliwekwa sebuleni.
Mchungaji akachukua kitambaa chekundu na kuchovyo kwenye dawa akawapaka wote watatu sehemu zao za siri ( afande, mke wa afande na house girl wao ),
baada ya kumaliza kuwapaka dawa mchunga akanza kuvua nguo zake zote akabaki kama alivyozaliwa bimkubwa nae akafanya hivyo mwisho kijana nae akafanya hivyo,
Mchungaji akaanza kufanya mambo na mke wa afande bimkubwa na yule kijana nayo wakafuata, wote wakawa wanafanya shughuli hiyo wakiwa wanaimba imba nyimbo zao za kichawi,
Yule kijana akawa wa kwanza kumaliza shughuli bimkubwa nae akafuata mchungaji akawa wa mwisho kumaliza shughuli, baada ya kumaliza shughuli bimkubwa akasema.....
"Bimkubwa: Kijana mludishe huyu house girl chumbani kwake na uje uwachukue hwa uwaludishe chumbani kwao.
"Mchungaji: Hapana hawa Leo tuwaache hivi hivi wapate adabu
"Bimkubwa: sawa haina shida aibu yao hiyo kesho
"Mchungaji: Basi sisi tuondoke tukapumzike
"Bimkubwa: sawa, alafu mchungaji lile swala la kuwafanya wawe farasi vipi?
"Mchungaji: Kweli kabisa nilitaka kusahau
Baada ya kukumbuka swala hilo mchungaji akachukua dawa kwenye kichupa akaanza kuwanywesha afande , mke wake pamoja na house girl wao,
Baada ya kuwanyweshe ile dawa dakika kama moja wote wakawa kama farasi wakawapanda na kutoka nao, walipofika kwa mchungaji wakashuka mchungaji akawashauli wapande ungo waondoke yeye atawabadili wawe katika hali yao ya kawaida.
Bimkubwa na yule kijana wakapanda ungo na kuondoka, baada ya bimkubwa na yule kijana kuondoka mchungaji akawachukua ( afande, mke wa afande na house girl wao ) na kuwasogeza sehemu ya mbali na nyumbani kwake akawanyweshwa ile dawa baada ya dakika moja wote wakawa katika hali zao za kawaida ila wakiwa watupu, aliwalaza pembezoni mwa barabara na yeye akaondoka.
Bimkubwa na yule kijana walipofika nyumbani Kwa mwanae waliingia na kuwakuta kama walivyowaacha....
"Mama sasa hawa tuwafanyeje maana wamejua siri kubwa sana
"Kama nilivyosema mmoja awe kipofu mwingine bubu
"Hapana mimi naona hili swala tungewashilikisha na wezetu
"Wenzetu wakina nani?
"Kule mahande wakina mzee kipesani
"Sawa hill swala tutawashilikisha na hawa itabidi wakae humu hadi kesho tutakapomaliza kikao na mzee kipesani.
Hatimaye mda ulisonga mbele na kukakucha, asubuhi kulipo pambazuka watu waliokuwa wanapita maeneo ya karibu na kanisa waliwashuudia afande mke wake na house girl wao wakiwa wamelala kandokando ya barabara wakiwa uchi.
Watu walizidi kuongezeka kadri mda ulivyokuwa unazidi kwenda, walijalibu kuwaamsha lakini hawakuweza kufanikiwa kuamka
ITAENDELEA......