Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Yeye kunitimua japo niligangamara hadi nikarudi ningempeleka mahakamani minyapio iongezekeNani aliyevunja mkataba


Yeye kunitimua japo niligangamara hadi nikarudi ningempeleka mahakamani minyapio iongezekeNani aliyevunja mkataba


Tumosa mwenyewe kasema nanyoosha vizuribaby mambo ya pale kati mimi simo![]()
shemela shululu ukuje ujibu

Nilishajibu mbonaAkijib nitagì
Sasa ni kupaki basi tuHili lenu ajax kama serengeti mipango hawana
Ahaaaaaahah ndo ushatia nangaaHaijalishi aisee nampenda sana tu
Hizi ndoto sasa shemela
nilivyoona picha nikajua kafunga si unajua nipo kitandaniKwenye masilahi utajua tu, unaweza kukanwa hivi hiviNani aliyevunja mkataba
Yaah shemkwani mnafanya kweli eti
Hamjaniuliza wa manywele kwenye kwapa mjuee![]()
![]()
ukiwa na watu unaonekana kama chizi
Hayupo/amelala, kweli mlalo moja hiyotuna mtto mmoja hayupo sasa ameshalala
hapana we umeacha kazi lee yupo porini shemela shululu shahidi tena mimi nikakwambia ebu msubili umwambie mwenyeweYeye kunitimua japo niligangamara hadi nikarudi ningempeleka mahakamani minyapio iongezeke![]()
naona hata mimiKwenye masilahi utajua tu, unaweza kukanwa hivi hivi
Kwa mo, ngoja tuoneSasa ni kubaki basi tu
Kimsingi tunamaliza msimu vizuri hata km tumeshika # 6 kwenye ligi
*Tuna kombe la Ligi
*Kombe la Europa
*Tiketi UCL group stage
What a season......
Tujipange kusajili kufukia mapungufu yaliyojitokeza ili tusichemshe UCL na pia kukosa tena Top 4 au hata ubingwa
..........
HushindwagiHahahaha c* angu huyo![]()
Ibaki hivyo hivyoMkuu
Shunie wangu
Si nilikwambia mwambie anyoe au ndio wa kumpa maembe huyoHamjaniuliza wa manywele kwenye kwapa mjuee
hayupo si tumosa shemela ndio amelalaHayupo/amelala, kweli mlalo moja hiyo