Makapuku Forum

ZABURI 91

4.Kwa manyoya yake atakufunika Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao

5.Hutaogopa hofu ya usiku,Wala msha+/le urukao mchana.

TUOMBE

BABA hatutaacha kukushukuru kwa wema wako.
Tunaomba toba kwayote tuliyokosa kwa mawazo ,maneno na matendo kwa kuwa tumetenda dhambi uturehemu.
Usiku wa leo tunaenda kinyume na wanga,wachawi,walozi na nguvu zote za giza,mkono wako ukatukinge uwe ngao usiku wote na damu ya thamani ya Yesu itutakase.
waponye wagonjwa ,wafariji wajane,wafiwa waliokata tamaa wape tumaini jipya,tunaomba Amani ktk familia,mahusiano,wachumba,wanandoa wote.
Linda vijana,watoto na wote ambao wanahitaji ulinzi usiku waleo rusipungukiwe.

Tunaoma Baba katika jina la YESU AMEN

MLALESALAMA
 
Amen mama..
 

Amen

BTW: Hii sala imesemwa wakti tunajiandaa kuamka.
Asubuhi njema BH
 
Amina siku inakuwa njema


Mungu akubaliki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…