Makapuku Forum

Asante kwa nukuu maridhawa kutoka kwa baba wa taifa.
 
Kambarage alikuwa na mapungufu yake mengi tu ikiwemo kumchukia Oscar Kambona baada ya kugundua ni msomi na mtu smart
Pia ujanani alikuwa anapuliza mafegi
Shukrani kwa nukuu murua
.
.
.
.
Pole pia kuhusu kuondokewa na mama mapema mimi niliugindua umuhimu zaidi wa mama baada ya kufika na baba

.........
 
Acha tu Bitoz hakuna kama mama yaan mm nikiwa na matatizo ndio unapozidi kuchanganyikiwa hivi mama angekuepo kila kitu si kingeenda sawa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…