Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Asante kwa nukuu maridhawa kutoka kwa baba wa taifa.NUKUU YA LEO
“Nibora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizo kufa”
“Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila uwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote”
hayo maneno yaliwahi tamkwa na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa letu
Alizaliwa tarehe 13/4/1922 na kufariki tarehe 14/10/1999
Ameacha mke mmoja mama maria nyerere na watto 7 mtto mmoja alifariki
muwe na siku njema.
Kwenye watoto ni sawa kweli nilihisi nimekoseaAsante kwa nukuu maridhawa kutoka kwa baba wa taifa.
Leo Katika Historia:
1939 - Lina Medina anakuwa mwanamke wa kwanza kujifungua akiwa na miaka mitano katika historia.
Lina Medina ni Mperu.
1948 - Taifa la Israel laanzishwa.
si mchezoLeo Katika Historia:
1939 - Lina Medina anakuwa mwanamke wa kwanza kujifungua akiwa na miaka mitano katika historia.
Lina Medina ni Mperu.
Watoto wake jumla ni nane.Kwenye watoto ni sawa kweli nilihisi nimekosea
Kambarage alikuwa na mapungufu yake mengi tu ikiwemo kumchukia Oscar Kambona baada ya kugundua ni msomi na mtu smartNUKUU YA LEO
“Nibora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizo kufa”
“Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila uwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote”
hayo maneno yaliwahi tamkwa na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa letu
Alizaliwa tarehe 13/4/1922 na kufariki tarehe 14/10/1999
Ameacha mke mmoja mama maria nyerere na watto 7 mtto mmoja alifariki
muwe na siku njema.
Sawa mmoja alifariki mussolinWatoto wake jumla ni nane.
Asante Mussolin kwa historiaLeo katika Historia:
Niwatakie jpili njema.
happy birthday mark1984 - Mark Zuckberg anazaliwa.
Ni mfanyabiashara wa Kimarekani na mwanzilishi wa mtandao wa Facebook.
Aiseee
Huyo mama muhuni aisee
Labda km alibakwa!!!
.....
.
HBD Mark1984 - Mark Zuckberg anazaliwa.
Ni mfanyabiashara wa Kimarekani na mwanzilishi wa mtandao wa Facebook.
Acha tu Bitoz hakuna kama mama yaan mm nikiwa na matatizo ndio unapozidi kuchanganyikiwa hivi mama angekuepo kila kitu si kingeenda sawaKambarage alikuwa na mapungufu yake mengi tu ikiwemo kumchukia Oscar Kambona baada ya kugundua ni msimu na mtu smart
Pia ujanani alikuwa anapuliza mafegi
Shukrani kwa nukuu murua
.
.
.
.
Pole pia kuhusu kuondokewa na mama mapema mimi niliugindua umuhimu zaidi wa mama baada ya kufika na baba
.........
asante mkuu, nawe piaLeo katika Historia:
Niwatakie jpili njema.
1984 - Mark Zuckberg anazaliwa.
Ni mfanyabiashara wa Kimarekani na mwanzilishi wa mtandao wa Facebook.