Makapuku Forum

Amen
 
Amen
 
hahaha...h call me jay boy we jitaid naww upate kazi ya ulinzi kilimo cha msimu kikiisha unapiga ulinzi
cc:nyagei muweke ata awe co-inspector
[emoji23] [emoji23]
 
dear shimba ya buyense katongole is not flower to smell plz teach him dont smell
 
Aaa wapi. Tunalima kitaalamu sana mkuu. Unaweza kuingiza pesa nzuri sana kwa mwaka kuzidi hata waziri (unless kama amefisadika). Njoo Koromije hapa nikuonyeshe how it is done. Uta-resign kazi ya ulinzi immediately!
hahah...h naona call me jay boy umegangamara kutetea kilimo (kiinua mgongo cha nchi)
sikatai kilimo ni kizur ila kwa mimi nilikikimbia huko kijijini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mjini hakuna shamba utalima lami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…