Amen1 Nimechoka kabisa macho yangu mazito macho yako BABANGU,yanilinde usiku.
2 Niliyokukosea Mungu niondolee!Damu ya Yesu Kristo huning'aza kabisa.
3 Ndugu zangu ,ee Mungu;uwalinde usiku;wakubwa na wadogo,wote walale raha.
4 Wenye shida tuliza uwafute machozi,uwapokee wote wafao usiku huu
ZABURI 27
14 Umngoje BWANA,uwe hodari ,upige moyo konde ,naam umngoje BWANA
USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE
UsilaleNaingia nyie mnalala sawa tu..
Nawe pia mkuu Nyagei ubarikiweKufikia hapa kwa Leo sina la ziada Nakutakieni usiku mwema Makapuku wote.
Amen1 Nimechoka kabisa macho yangu mazito macho yako BABANGU,yanilinde usiku.
2 Niliyokukosea Mungu niondolee!Damu ya Yesu Kristo huning'aza kabisa.
3 Ndugu zangu ,ee Mungu;uwalinde usiku;wakubwa na wadogo,wote walale raha.
4 Wenye shida tuliza uwafute machozi,uwapokee wote wafao usiku huu
ZABURI 27
14 Umngoje BWANA,uwe hodari ,upige moyo konde ,naam umngoje BWANA
USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE
hahah... alisema et ye mbenaSi mama mchuchu niliwasikia mnaulizana makabila
hahaha...h call me jay boy we jitaid naww upate kazi ya ulinzi kilimo cha msimu kikiisha unapiga ulinziNow we are talking. Angalau umegangamara kidogo hata mkwara kidogo unaeleweka. Ukiendelea hivi Lee akirudi nitamuomba akuongezee mshahara. Akigoma nitajitolea mwenyewe kwa sababu safari hii nyanya zangu zimekubali balaa hapa Koromije. Excellent job
dear shimba ya buyense katongole is not flower to smell plz teach him dont smellWazazi wengine wamepinda duh! Katongole atakua ananuka balaa na mademu wakianza kumkimbia matatizo kibao ya kisaikolojia yanaanza - hasira, anti social tendencies, low esteem, loneliness, depression, inferiority complex na mengineyo kibao. Mzazi huyu huyu tena utamwona analalamika kuhusu matatizo ya mwanae. Kumbe angemsikiliza mwalimu wakasaidiana kuhakikisha kuwa Katongole anakuwa mtanashati yote haya yasingetokea.
Nipo kwa ajili yako mume wanguNimekumiss pia mke wangu...
I love you so much my love
hahah...h naona call me jay boy umegangamara kutetea kilimo (kiinua mgongo cha nchi)Aaa wapi. Tunalima kitaalamu sana mkuu. Unaweza kuingiza pesa nzuri sana kwa mwaka kuzidi hata waziri (unless kama amefisadika). Njoo Koromije hapa nikuonyeshe how it is done. Uta-resign kazi ya ulinzi immediately!
Nawe pia Obe, umeamkaje lakiniAsubuhi njema Makapuku
Morning, nimefurahi leo kukuonaNipo kwa ajili yako mume wangu
Love you more hubby... Take care