5/The Deadliest Drought
Ukame huu uliikumba China kati ya mwaka 1976 hadi 1979 unaambiwa mito ilikauka kiasi mtu ungeweza kuweka godoro na kulala
Ilisababisha vifo zaidi ya milioni 10
.....
2/The Black Plague
Huu ugonjwa wa tauni uliweka rekodi kwa kuua watu wengi kuliko magonjwa yote ya tauni kuwahi kutokea.
Ulitokea mwaka 1347 hadi 1350
Uliua 33% ya watu wote barani Ulaya
Pia ulipifa hodi Asia na Afrika Kaskazini na kuua idadi kubwa ya watu
.....
Valentina sitarudia kukuudhi mamy wangu..
Nakupenda sana
Nafuraha isiyo na kifani kuona umenisamehe..
Always you will be my woman.
I really fallen to you valie
I can't explain more here.
Mond he is Loving you...