Yeah, yaani jamaa kafa unexpectedly kabisa bado akiwa kijana tena mtu wa mazoezi gym humkosi. Sasa sijui ni Malaria ameichezea. So sad!Dah!!!.....pole kwa msiba wa schoolmate, ndio hivyo binadamu hatujui kesho yetu, muhimu kumtafuta Mungu muda wote maana hatujui siku wala saa.....pole pia kwa jino.....lifanyie rootcanal au uling'oe kabisa maana hamna option nyingine.....usilisikilie!!!
We are all equal but samelessNi uonevu tu. Hebu nije nisikie tena mtu anasema eti nobody is above the law. Nitaua mtu! Labda huko kwa wenzetu ambako hata kama we ni rais ukileta za kuleta unaburuzwa mahakamani na hata kufurushwa kutoka madarakani. Juzi juzi tu hapa rais wa Korea Kusini kafurushwa kama mwizi. JK sitamsahau kwa kugeuza gia angani na kugoma kutuachia katiba mpya!
Shimba, hapa ndo ninapogeuza shingo kulia kwenda kushoto. Haiwezekani kuwe na watu na viatu katika ishu kama hizi, tuna mfumo mbaya sana wa kutatua au kuelezea kero. Hatuzijadili na bado tupo kwenye dhama za kuamini mtangazaji wa radio akisema sasa ni saa saba basi hatuhitaji kuangalia saa zetu.Ni uonevu tu. Hebu nije nisikie tena mtu anasema eti nobody is above the law. Nitaua mtu! Labda huko kwa wenzetu ambako hata kama we ni rais ukileta za kuleta unaburuzwa mahakamani na hata kufurushwa kutoka madarakani. Juzi juzi tu hapa rais wa Korea Kusini kafurushwa kama mwizi. JK sitamsahau kwa kugeuza gia angani na kugoma kutuachia katiba mpya!
Wanasayansi bwana!Tongotongo ls Asubuhi
Umewahi kutumia BIC?
Sasa basi ujue vile vitundu viwili havikuwekwa kwa bahari mbaya au urembo
Watengenezaji waliamini vitasaidia kucontrol balance ya presha ya nje na ndani ili kulifanya bomba la wino liwe linafanya kazi kwa ubora na kutiririsha wino inavyostahili
........
Pole sana SHIMBAYeah, yaani jamaa kafa unexpectedly kabisa bado akiwa badi kijana tena mtu wa mazoezi gym humkosi. Sasa sijui ni Malaria ameichezea. So sad!
Root canal mateso tu. Nadhani nitaling'oa tu halafu nitaangalia utaratibu wa kuweka jingine. Nikimeza dawa za maumivu mpaka nasahau lakini after 6 hrs naanza tena kusikia mpwito mpwito.
Amen!Pole sana SHIMBA
Ndio tijue thamani ya maisha
Tuutumie muda wetu tunaokutana hapa vizuri maana hakuna mwenye uhakika na kesho
Tupandikize mbegu za upendo miongoni mwetu
.........
Wenzetu kila changamoto wanaifanyia kaziWanasayansi bwana!
Mchapo. Jamaa wa NASA walienda na BIC mwezini zikagoma kuandika kwa sababu sijui hakuna gravity na presha ni kidogo. Waliporudi NASA wakafanya utafiti mpaka wakaweza kutengeneza kalamu zenye wino maalum usioathiriwa na gravity wala presha kwa kutumia zaidi ya dola milioni 30. Warusi wao wakaenda anga za juu na penseli tu na hawakuwa na tatizo lo lote!
AmenAmen asante Mungu kwa upendo wako,umetulinda na kutuamsha salama tembea nasi siku yaleo bariki kazi za mikono yetu bariki tuingiapo na tutokapo,tujaze upendo,furaha ,mshikamano tuchukuliane mizigo,ponya majeraha,ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,wajane,wahitaji tutendee sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen
Senkyu mkuuMpaka hapo Sina la ziada kwenye magazeti ya leo
Nawatakieni jumamosi njema
Huyu Wasira na Bulaya hawaishi vituko
Get well soon SHIMBA YA BUYENZEAsante sana mkuu. Maisha yetu hapa duniani kweli ni kama maua. Juzi nimeongea na schoolmate wangu mmoja akaniambia ana homa homa inamsumbua just now hata sijaamka vizuri napigiwa simu kuwa katangulia mbele ya haki. Jamaa mchacharikaji ndiyo tu kamaliza kushusha mjengo wa kufa mtu huku akiwa tayari sasa kuanza kutafuta mwenza. Just 29 yrs old huyooo tayari keshatangulia.
Tufurahieni maisha hapa duniani lakini kamwe tusisahau kuwa tu wapitaji tu na harakati za kujitafutia mali na raha zingine zisitufumbe macho mpaka tukasahau hata kumkumbuka Mungu katika maisha yetu. Tukumbuke kuwasaidia binadamu wenzetu wanaoteswa na magonjwa na umasikini. Tuwatembelee mayatima. Tuwaliwaze wenye matatizo. Tuwe wanyenyekevu na zaidi ya yote tujiweke tayari kila siku ili tunapojikabidhi mbele yake Aliyetuumba tukawe na kibali machoni mwake kwa kadri ya Neema zake na upendo wake kwetu. Muwe na siku njema makapuku.
Miye kuna dentist kakorofisha jino langu yaani linauma kuliko hata kabla sijaenda kwake. Jino lilikuwa na tobo (cavity) kaliziba sasa ananiambia eti si ajabu nikahitaji root canal. Hovyo kabisa. Leo naona nitashinda tu nimelala nikilisikilizia. Mniombee!
PointPole sana SHIMBA
Ndio tijue thamani ya maisha
Tuutumie muda wetu tunaokutana hapa vizuri maana hakuna mwenye uhakika na kesho
Tupandikize mbegu za upendo miongoni mwetu
.........
Ndaga fijoMpaka hapo Sina la ziada kwenye magazeti ya leo
Nawatakieni jumamosi njema