Makapuku Forum

Wanasiasa wanatakiwa kujua kusoma na kuandika tu matokeo yake hawajui kuhesabu wakiandikiwa kwenye mikataba ISD 123 wanafikiri ni Tsh 1230
shukrani kwa magazeti

.
SHIMBA jana ndondi nani kupigwa?
.........
Pambano ni leo Jumamosi usiku saa nne huko UK. Huku kwetu itakuwa saa saba usiku J'pili.

Wanasiasa hao hata hesabu wanazijua sana. Tatizo ni vijisenti. Jamaa wanapiga hela ndefu sana (in US $) halafu wanakwenda kuziweka nje zinapoa kwanza. Imagine mzee wa vijisenti alivuta US $ milioni 3+ kwenye rada halafu anasema tena kwa kiburi na dharau kabisa kuwa hivyo ni vijisenti tu. Nchi hii ina walaji tena wenye meno ya chuma!
 
Amen Mama.
 
Usisahau kutupa update

Acha wivu hiyo ni pesa ya mboga tu
By Tobaijuka
......
 

shululu asante sana kwa magazeti.

Salamu Makapuku, na baada ya kuwasabahi, nina swali dogo tu wala si la maana kivile wikend hii.

Hivi vyeti feki (ndo maana nimenukuu hili gazeti ) ni vipi? Siasa kando. Nataka kujua hivi vyeti feki ni vipi?

Hawa 9k wenye vyeti 'feki' ni rahisi tu kuwaondoa kazini usizoroteshe huduma za kijamii? (Haimaanishi kuwa nakubaliana na forgery/fraud ya aina yoyote).

Natamani tungekuwa tunavipa vichwa vyetu kazi yake, kufikiri, kabla ya kuibuka na dhana kama hizi za vyeti feki , hii itasaidia kuwa na sehemu moja ya kusimamia, fairness to both, na sio 'kunywa supu ya mbwa na kuilaani nyama yake'.

Baada ya kauli ya waziri, naliona zoezi hili kutokuwa fair, sababu ya ndimi mbili aka dabostandard. Unapomuhukumu mwizi usimwache aliyeibiwa
 
Dah!!!.....pole kwa msiba wa schoolmate, ndio hivyo binadamu hatujui kesho yetu, muhimu kumtafuta Mungu muda wote maana hatujui siku wala saa.....pole pia kwa jino.....lifanyie rootcanal au uling'oe kabisa maana hamna option nyingine.....usilisikilizie!!!
 
Bashiteeee kapona
Ni uonevu tu. Hebu nije nisikie tena mtu anasema eti nobody is above the law. Nitaua mtu! Labda huko kwa wenzetu ambako hata kama we ni rais ukileta za kuleta unaburuzwa mahakamani na hata kufurushwa kutoka madarakani. Juzi juzi tu hapa rais wa Korea Kusini kafurushwa kama mwizi. Mwaka jana rais wa Brazil naye yakamkuta. JK sitamsahau kwa kugeuza gia angani na kugoma kutuachia katiba mpya. Angetuachia katiba mpya yaani angekuwa legend wa siasa za Tanzania!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…