Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Liberia
129d15dcea9181eecd2707a62f973d50.jpg

Licha ya bendera yao kufanana na USA lakini kiuchumi ni tembo na sisimizi
Kipato chao ni USD 712...Chanzo kikuu cha umaskini wao ni migogoro ya kisiasa nafikiri wote mnajua walichofanya akina Samuel Doe na Charles Taylor...hali ilitulia kidogo utawala wa Mama Hellen Johnson Shyraff
.....
 
we baba paroko haya mambo ya kuomba kukuwadiwa umeona vale anachotaka kufanya

lee hayo mambo sitaki tena mtu anampenda mtu acha aangaike nae mwenyewe
Baba paroko alifunga na kuomba ujue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom