mm najua ww n baby wangu bas nafanya chochote tu nachojiskia ujue nazidi kukupenda tuuu Mungu azidi kuniwekea jamaan na vituko vyako vyote mm nakupenda ww tu
Mungu awatangulie katika safari yao,damu ya Yesu iwafunike tunawaombea Amani,faraja nz uzima,Mungu aendelee kuwakumbatia katika kipindi hiki kigumu. Amani ya Bwana ipitayo amzni zote iwe nanyi