Makapuku Forum

Monaco on fire
Umewaona washikajii zako ??

Mimi nasubiria kuona kama profesa Claudio R wangu kaibahatisha tiketi ya VIP au kapata tiketi ya kawaida ....make fox kuna mda unatamani kuwaangalia mda wote kwa kipindi chao hiki wanachojiaminiii
ANYWAY mhindi tushamalizane nae mapema make hakuna editing ...upande wa pili naiona droo mubashara
 
Arena kugumu kaka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…