Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Cobblepots anakuja juu vibaya sana ila sisi ni washikaji tu msiogopeUkileta fyoko na jimena humpati, wew mwenyewe umemwona cobblepots alivyo
We si uliaga wewe jamaniKweli yatosha ck kwa maovu yake
kwani mama mchungaji kasafiri??
Sizzya akileta shida nachepusha urafiki, u know ntakwambia je!Cobblepots anakuja juu vibaya sana ila sisi ni washikaji tu msiogope
Wewe nawe sio mlalaji, toka ulivyoanza kuaga ungekuwa ushaanza mpaka kunena kwa lugha ndotoni![]()
![]()
jamani msinichokoze taka lala
Hili nalo neno...We si uliaga wewe jamanikwani mama mchungaji kasafiri??
Kwani huoni hiyo hatari mkuuShould i feel safe😕
Mchungaji kijanaWe si uliaga wewe jamanikwani mama mchungaji kasafiri??
Daaah unajua hadi kunena, uliacha imani nin!Wewe nawe sio mlalaji, toka ulivyoanza kuaga ungekuwa ushaanza mpaka kunena kwa lugha ndotoni
Hata kumkubali bado ila mazungumzo ndo yako sehemu nzuri, sasa acha fitina usifanye nikamkubali kwa kile kigezo cha mti wenye matunda ndio unaopigwa maweSizzya akileta shida nachepusha urafiki, u know ntakwambia je!
Achana naye ana matatizo ya tumbo kila ck huachia vitu kitandani...hujamwacha tu wew?
Mi sio mfuasi wa hizo dini kabisaDaaah unajua hadi kunena, uliacha imani nin!
Unaabudu mwezi eeeMi sio mfuasi wa hizo dini kabisa