Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ahaaaaaaaah chizi wewe niacheehahahhhh zipo aina mbili ujue umiza kichwa
Ahaaaaaaaah chizi wewe niacheehahahhhh zipo aina mbili ujue umiza kichwa
Am fine alhamdulillahIm very good my dear, and you!
Am doing alright sweetie..Bae
Umeamkaje love!!!
Mie mzima, nimekuota ujue.
Kapuku mko poa!!!?
Safi sana kijana wanguNajibu kwanza niliyoyakuta salam baadae.
Morning leeMarhaba mtoto mzuri
Mzima wewe ???
Ulikunjwa soda ngapi?Hangover za soda labda.
Amina mama mchungaji..Wapendwa naamini mmeamka salama Mungu ni mwaminifu sana kila siku anatupa wanae yaliyo mema,nawatakia jumapili njema Mungu aonekane kwa kila mmoja wetu,wanaoenda ibada ziwe njema,wagonjwa wapone,wenyecgangamoto zozote leo zipate ufumbuzi....nawapenda sanasana Mbarikiwe sana.
Hahahaaa! Morning shemeji
Mkuu lugha ilikuja na meli hii..ungeweka kiswahili ingependezaMorning family
Morning jf
Morning kapukuz
Morning ladies and gentlemen
Morning to my superwoman Sakayo!
Habari za asubuhi familiaMkuu lugha ilikuja na meli hii..ungeweka kiswahili ingependeza
Nzuri ..habari yako na wewe vipi afya ipo bomba?Habari za asubuhi familia
Habari za asubuhi jf
Habari za asubuhi kapuku
Habari za asubuhi mabibi na mabwana
Habari za asubuhi mke wangu Sakayo.?
Niko pouwa mkuu..Nzuri ..habari yako na wewe vipi afya ipo bomba?
Morning to you too shemHahahaaa! Morning shemeji



Umeolewa na kikongwehahahhhh ww ninaekujua una miaka hiyoningekua sikujui sawa
Mara nyingi dadangukaka shikamoo