Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kubwa la hapa Makapuku..

1. Kila mtu ni sawa na mwingine..we are all equal

2. Kila mtu anamheshimu mwenzake hapa..-No matusi
-No dharau

3. Unachangia as much as you can


4. Unapata like na wewe unagonga like


5. Upendo kwa members wote

6. Utani ni sehemu ya maisha ya hapa makupuku ili kutoa stress..

7. Hapa hakuna historia ya Bani, labda ukaipatie huko MMU kwa kujitakia..


8. Tunajadili chochote hapa ! Habari yoyote wewe weka hapa..ISIPOKUWA zile zinazovunja sheria za Jamiiforum


Karibu makapuku...

Nishakupika kwa 50% tayari
Lakini na mimi nimeiva
 
Maisha magumu jamani
Watu wametafuta wapenz wamekosa
Wakaamua kujiita wachungaji
Haya bwana endeleeni
Sio magumu ila ni uamuzi tu humu ndani zaidi ya nne nani azibariki mama mchungaji yupo busy mimi nimejitolea kwa roho moja ili nizibariki
yote ni kwa sababu ya emmyta
Si kwa sababu yake ni roho mtakatifu kaniingia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom