Sasa walikutana kwenye uzi wa michambo!! Huo uzi ni wa kutoa kero mkuu.
Mwenyewe nilipo uona nilimkumbuka yeye na Ivunga lakini nafsi ikanisuta kutoa michambo nikakaa kimya.
Mara mdogo wangu akaja ndo akalitoa la moyoni. Nafikiri ligi ndo Ilianzia hapo