Sheria zipo wazi anayehusika na matibabu ni timu yake ya Taifa
Klabu itathirika kwa kukosa tu uwepo wake pia huu ni mwezi wa 3 mechi zimebaki chache na muda wa mapumziko unakaribia hivyo Agosti atakuwa keshapona kuanza ligi
.....
Nimeipenda anaipenda kazi yake na atauza sana kwa kuwa wateja watamwamini smart na matunda masafi..jali chako mpendwa ukiamua kujiajiri be smart kupandisha thamani ya bidhaa yako
Hujaelewa somo
Kufanya kazi kwa bidii (kufagia) hakujaleta mafanikio aliyonayo sasa alichofanya huyo jamaa ni kuacha kazi hiyo na kujikita kwenye kazi nyingine ambako kuna hela
Angeendelea tu kufagia leo hii asingekuwa tajiri
........