Makapuku Forum

2004 - Rais wa Korea Kusini, Roh Moo-hyun anasimamishwa Urais na Bunge la Nch hiyo baada ya kufanya vibaya kwenye Uchumi na Diplomasia.

Mwaka 2009, Rais Roh anaamua kujiua mara baada ya kupanda mlimani na kujirusha chini.

Juzijuzi tu wamentimua mwingine
Waafrika tuna mikatiba mibovu Rais anatawala km mungumtu
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…