Habari za kuamka wapendwa naamini wote mko salama namwomba Mungu awabariki katika kazi Na majukumu yenu muwe na afya njema Na furaha wale wote wenye changamoto Mungu awape wepesi n matumaini ,wagonjwa poleni Mungu atawaponya Mbarikiwe sana.
Umenikumbusha lile pambano lao aisee ila karoho kaliniuma mnooo maana sikutegemea kama angempiga Pacquiao hata kidgo nlikesha weee ila ikawa vice versa