Makapuku Forum

LEO KATIKA HISTORIA:

1933 - Adolf Hitler anafanya kikao cha siri na wamiliki wa viwanda vikubwa nchini Ujerumani ili kuwashawishi wamuunge mkono katika uchaguzi mkuu wa Ujerumani.

Moja ya ajenda ya kikao hiko ilikuwa ni kuwaomba wamdhamini pesa ya kampeni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…