Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hakuna siku mbaya maishani kama kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, halafu wewe umeninginia kwenye daladala,,,
tena ulikua unamzid maksi darasani hapo ndo utajua kwanini gunia na dunia zinatofautiana herufi moja tu


................
 
Hakuna siku mbaya maishani kamavkuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, halafu wewe umeninginia kwenye daladala,,,
tena ulikua unamzid maksi darasani hapo ndo utajua kwanini gunia na dunia zinatofautiana herufi moja tu


................
kuwa kichwa class sio kutusua kwenye life
 
Hakuna siku mbaya maishani kamavkuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, halafu wewe umeninginia kwenye daladala,,,
tena ulikua unamzid maksi darasani hapo ndo utajua kwanini gunia na dunia zinatofautiana herufi moja tu


................
Inauma lakini utafanyajee ...na mbaya zaidi unakuta kipindi kila mwalimu akitinga class au paredi anakusifia kinomaaa na wewe unajiona bichwa na uyu ndo wale waliokua wanakuja skonga kunywa uji na kurudi mageto ..
 
Inauma lakini utafanyajee ...na mbaya zaidi unakuta kipindi kila mwalimu akitinga class au paredi anakusifia kinomaaa na wewe unajiona bichwa na uyu ndo wale waliokua wanakuja skonga kunywa uji na kurudi mageto ..
Tatizo wakati tukiwa skuli tulikuwa na akili za kitoto
Now tumekuwa wakubwa ndo tunagundua uhalisia wa maisha
Hata wanafunzi wa vyuo vikuu wanafikiri wakimaliza tu basi maisha yatakuwa mteremko tu

..........
 
Tatizo wakati tukiwa skuli tulikuwa na akili za kitoto
Now tumekuwa wakubwa ndo tunagundua uhalisia wa maisha
Hata wanafunzi wa vyuo vikuu wanafikiri wakimaliza tu basi maisha yatakuwa mteremko tu

..........
Maisha ya madaftari na madesa yanadanganya kinomaaa hasa kwenye uhalisia wa life la kitaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom