Makapuku Forum

 
Niwatakie Heri ya Mwaka Mpya wadau wote humu ndani(uwe ni mwaka wa mafanikio zaidi) naamini sijachelewa sana
Majukumu yamezidi kunipoteza mwenzenu, huwa naibuka lakini kwa machale sana
Am really missing you fellaz..

QUIGLEY, Jimena, Bitoz, Bailly5, Mussolin5, Werrason, manuu, Patience123, amaizing, shululu, lizziebettie, Cobblepots, MANDELAA KIWELU, jonax, Makaveli10 & Sweetiepie, The book, Tetramylez, Papushikashi, MKWEPA KODI, SHIMBA YA BUYENZE, jerrysonkiria, shushushu VIP, radika, Shemtibuko, Ollachuga Oc, radika, lothrito, sacajo na wengine wote

Ooops! bila kuwasahau wanaolisongesha kwa sasa

lee empire, Transcend, Salaniatz, Obe, Shunie, ukhuty, Queen Kan, Clkey na wengine wooote!

Pamoja sana..
 
Asante mkuu na wewe pia ila pole na majukumu ,tunashushuru sana kwa kutukumbuka
 
Asante briz, nawe pia, hongera kwa kazi, karibu makapuku ukiwa free, tunakumis sana ankali
 
Heri ya mwaka 2017 briz na ndo kwanza January
 
Haina noma
Karibu tena
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…