Makapuku Forum

Wachina walianzia mapinduzi yao kwenye agri business. Vyerehani na vimitambo vya SIDO kwenye kilimo. Pole pole wakajikongoja na leo wako mbali. Hata sisi inabidi tuanzie huko. Inaumiza moyo kuona kuwa mpaka leo wakulima wetu bado wanatumia jembe la mkono. Halafu tuna ndoto ya kuwa taifa la viwanda. Maajabu kabisa!
 
Awamu hii ubunifu muhimu
 
Awamu hii ubunifu muhimu
Kweli ubunifu ni muhimu kwenye hii awamu. Sera ya kila mtu ataubeba msalaba wake haina huruma na mtu ukizubaa unakufa njaa na familia yako. Karibu nchi nzima hakuna mvua. Ngoja tuone tutakavyobeba misalaba yetu


Badala ya kukazania viwanda tungekazania kwanza mapinduzi ya kilimo. Our priorities are kind of misplaced
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…