Michezo na burudani ,kilichompata mtani tuwaachie wenyewe mapinduzi cup ,wanasema hakuna kuremba
Team bora bidhaa bora.... Yule sure boy Yule sijui ndio kufufuka au ndio kuweka kama mvinyo.... najiuliza tu hivi ni zile falsafa za waspain zimeanza kufanya kazi au ni falsafa za Cheche......?
Nadhani zile Azam Malta za msuva zimewalewesha Yanga..... Haswaa yule Zulu. Maana umeme ulikatika kuanzia kwenye kiungo cha Yanga kurudi nyuma.....