Hata mzawa unaweza kuchukuliwa kuwa mhamiaji haramu ukajikuta kwenye kiroba chini ya mto ukiliwa na mamba. Ni hatari sana. Yaani utafikiri hao wahamiaji haramu siyo binadamu wanaostahili kuzikwa kwa heshima ya kibinadamu. Halafu Trump anataka kujenga ukuta kuzuia wahamiaji haramu dunia nzima inampigia makelele. Sisi tunaotia kwenye viroba je?