sizzya007
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 773
- 2,422
Alafu mi ningependa vilevile kuwe na sehemu ya dislike pia hafikiri woote tunge kuwa na akili timamu
Kuna watu ningewatembezea dislike kama sina hakili nzuri😀
Alafu mi ningependa vilevile kuwe na sehemu ya dislike pia hafikiri woote tunge kuwa na akili timamu
Wee, sema akyamungu
Aluta Continua!Na bado mapambano yanaendelea
Yaani we acha tuu, ila ingetutia akili na dharau zingeisha Wallah. Maana ukimu attack mtu kizembe watu wanakupiga dislike za kutoshaKuna watu ningewatembezea dislike kama sina hakili nzuri😀
Itakuwa hatari sanaAlafu mi ningependa vilevile kuwe na sehemu ya dislike pia hafikiri woote tunge kuwa na akili timamu
Kwani wewe hujielewi uko kundi gani?Kwahio na mm nikapuku
Aha haaa....Kuna watu ningewatembezea dislike kama sina hakili nzuri😀
kamanda kapuku amka usilale
PLATUN KAMANDA WA KAPUKU
Naamini kwa kadri ya uwezo watayamaliza matatizo moja baada ya jingine.Nimefurahishwa sana kuona wahusika wanashughulikia hoja zetu.
Tupoo MbuluMakapuku mpooooooo...
