Eti eeeeh?Na makucha yake kila mtu na kichaa chake
Haa haa wanaume mbwa hawa.Hao ni wanaume au mbwa??
Mbona unatukosea bradha??
Yani unatufananisha na mbwa??
Au kwenu hao ndio wanaume??
Usirudie tena. Leo nimekusamehe
Kwahiyo umefurahiaHaa haa wanaume mbwa hawa.
Sisi ni wanaume watu.
Duh. Haya banaGudi moning'i gaizi
Kwani hakuna mbwa dume?Kwahiyo umefurahia
Wapo ila sio poa kuwafananisha na wanaumeKwani hakuna mbwa dume?
Kwahiyo mbwa dume nimfananishe na mwanamke?Wapo ila sio poa kuwafananisha na wanaume
Unakaribia kupona sasaHaa haa wanaume mbwa hawa.
Sisi ni wanaume watu.

GAIZI-GUYGaizi= guy or gay
![]()
![]()
![]()
![]()
Nitaponaje wakati mimi ndiye daktari wenu?Unakaribia kupona sasa![]()
![]()
![]()
![]()
Ok, Genda HekaGAIZI-GUY
GEIZI-GAY
Sawa,Shabiki wa Simba.Ok, Genda Heka
Hapo maumivu sasaSawa,Shabiki wa Simba.
Utakua na tabia hii wwWanaume bwanaaaaaaaaaaaaaaaa![]()