shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Niajeee liviMorning to u mkuu
Niajeee liviMorning to u mkuu
Pia mpenda vidosho vya club2011 - Silvio Berlusconi anajiuzulu wadhifa wake wa Uwaziri Mkuu wa Italy kutokana mdororo wa Uchumi pamoja na madeni.
Licha ya kuwa Waziri Mkuu pia ni mmiliki wa klabu ya Ac Milan.
Wa tatu1938 - Benjamin William Mkapa anazaliwa.
Ni mwandishi wa habari, Mwanadiplomasia na mwanasiasa toka nchini Tanzania.
Alikuwa Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
HBD Benni1977 - Benni McCarthy anazaliwa.
Straika wa zamani wa Porto, Blackburn Rovers na tinu ya taifa ya Afrika kUsini.
Alitwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa na Porto mwaka 2004.
Asante dikteta, uwe na Sabato njemaLeo katika Historia:
Weekend njema.
Nawe pia dictatorLeo katika Historia:
Weekend njema.
Kwemaa mr shululu weekend tulivuNiajeee livi
Poa kabisaKwemaa mr shululu weekend tulivu
Apo sawa mkuuPoa kabisa
1977 - Benni McCarthy anazaliwa.
Straika wa zamani wa Porto, Blackburn Rovers na tinu ya taifa ya Afrika kUsini.
Alitwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa na Porto mwaka 2004.
1961 - Enzo Fransescoli anazaliwa.
Kiungo mchezeshaji wa zamani wa Marseille, Torino na rimu ya taifa ya Uruguay.
Anatajwa kama mchezaji bora wa kizazi chake. Uwezo na ufundi wake ulimfanya Zidane achukue jina la nyota huyo na kumpa mwanae ajulikanae kama Enzo Zidane anayekipiga Real Madrid B.
1938 - Benjamin William Mkapa anazaliwa.
Ni mwandishi wa habari, Mwanadiplomasia na mwanasiasa toka nchini Tanzania.
Alikuwa Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2011 - Silvio Berlusconi anajiuzulu wadhifa wake wa Uwaziri Mkuu wa Italy kutokana mdororo wa Uchumi pamoja na madeni.
Licha ya kuwa Waziri Mkuu pia ni mmiliki wa klabu ya Ac Milan.
Lo Katika Historia:
1956 - Morocco, Sudan na Tunisia zajiunga Umoja wa Mataifa.
Poa niajeHabarini za wakati huu
AhsanteAsante dikteta, uwe na Sabato njema
poa poaNawe pia dictator
Anko Ben![]()
![]()
Founder wa Wapumbavu & Malofa
........
Pamoja sana kubwa lao![]()
Ahsante kwa historia Dikteta makofia makubwa
........