Makapuku Forum

1945 - Gerd Muller anazaliwa.

Ni staa wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

Anafahamika kama " The Bomber of the Nation ".

Alitamba sana katika kombe la dunia la mwaka 1974 lililofanyika katika ardhi ya nyumbani na kutwaa ubingwa huo kando ya staa mwenzake Franz Backenbaeur " The kaiser ".
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…