Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
1953 - Katiba ya Nchi ya Pakistan yapendekeza nchi hiyo kuitwa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan.
1963 - Rais wa Vietnam ya Kusini, Ngo Dinh Diem anauwawa baada ya kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini humo.
1964 - Mfalme Saud wa Saudi Arabia anapinduliwa na kaka yake Faisal katika mapinduzi ya Kifamilia ili kushika uongozi wa Nchi hiyo.
1983 - Rais wa wakati wa Marekani, Ronald Reagan anasaini muswada wa kuanzisha Siku ya Martin Luther King Jr huko nchini Marekani.
1980 - Diego Lugano anazaliwa.
Ni beki wa zamani wa Malaga, West Brom na timu ya taifa ya Uruguay.
Alikuwa ni kepteni bora katika Kombe la Dunia ka mwaka 2010.
1989 - Stevan Jovetic anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Fiorentina, Man City na sasa Inter Milan.
1971 - Robert Mensah anafariki.
Ni golikipa wa zamani wa Asante Kotoko Kumasi na timu ya taifa ya Ghana.
Ni moja kati ya magolikipa bora kuwahi kutokea katika bara hili la Afrika. Alikuwa na mbwembwe nyingi sana uwanjani.
Alikuwa akipenda kuvaa kofia awapo uwanjani hali iliyompelekea wachezaji wa timu za upinzani kuhisi jamaa anatumia juju kwenye kofia hiyo.
Aliuwawa kizembe kwa kupenda kwake ukorofi awapo mtaani.
Juma Pondamali " Mensah " aliiga jina lake.
Much respect kwakeLeo katika Historia:
1930 - Haile Salassie anaapishwa rasmi kuwa Mfalme wa Ethiopia.
Maneno kuntu kabisa hayo
Martin The KingManeno kuntu kabisa hayo
Na majina yote yangewekwa kwenye magazeti.Angekuwa mpinzani jina lingekuwa hadharani
HBD1989 - Stevan Jovetic anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Fiorentina, Man City na sasa Inter Milan.
RIP1971 - Robert Mensah anafariki.
Ni golikipa wa zamani wa Asante Kotoko Kumasi na timu ya taifa ya Ghana.
Ni moja kati ya magolikipa bora kuwahi kutokea katika bara hili la Afrika. Alikuwa na mbwembwe nyingi sana uwanjani.
Alikuwa akipenda kuvaa kofia awapo uwanjani hali iliyompelekea wachezaji wa timu za upinzani kuhisi jamaa anatumia juju kwenye kofia hiyo.
Aliuwawa kizembe kwa kupenda kwake ukorofi awapo mtaani.
Juma Pondamali " Mensah " aliiga jina lake.
Asante diktetaLeo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Messi Messaya muwe na siku njema.
Gori zuri sana lile