Msomeni hapa post #2Ngedere Ungabu salamu zimfikie kokote alipo!
Et.....?
Ngedere Ungabu salamu zimfikie kokote alipo!
Yule jamaa akipost kitu sitoi comment kabisa,anajiona JF amezaliwanayo.Alafu Ngedere Ungabu ndo anaongoza kwa dharau huyo jamaa, na in his little bright head anajua kuwa yy ni smart basi ndo midharau tu lafa sana yule yaboπ‘π‘π‘π‘π‘
Usijali muda si mrefu utakuwa kwenye list ya makapuku.mimi sio kapuku nn nimejiunga mwaka huu ila kwenye list sipo
We kapuku tuu.... Karibu...mimi sio kapuku nn nimejiunga mwaka huu ila kwenye list sipo
Utakuwa umeibiwa.Jamani naombeni like moja fastaπ±π±
Total ya likes zangu eti ni 666, n i dont like this numberπ±π±
Help pleaseπ
Maelekezo yapo post #3mimi sio kapuku nn nimejiunga mwaka huu ila kwenye list sipo
mimi sio kapuku nn nimejiunga mwaka huu ila kwenye list sipo
Mimi mwenyewe huu uandishi wa namna hii siupendi.Nimekosea njia . ILA mnaudhi Sana asa mnapoleta uandishi wa kifacebook humu. Mfano S=X.
Watu wana type haraka kuwahi pointMimi mwenyewe huu uandishi wa namna hii siupendi.
Hahahhh......acha wa-enjoy kwanza.
Watu wana type haraka kuwahi point
Hahahhh......acha wa-enjoy kwanza.
Dunia ni yao...wakati ni huu.
Safi vijana makapuku.
Hahahhh......acha wa-enjoy kwanza.
Dunia ni yao...wakati ni huu.
Safi vijana makapuku.
Sio kwa kujikweza tuu, na wewe likes unatoa?teh teh mwanzishaj wa hili bandko heshima kwako na ss tupat pa kutambia ebosio kila mar mkongwe hee kisa wakt wa founder et alikuwepo
salute sana
SNIPER SHOOTER
SNIPER SHOOTER
memba mpya anaekuja kwa akasi mwenye mawazo chanya
salute kwake piaSNIPER SHOOTER
SIO KILA cku mie kulike post za wenzio tuwa mh eti ni kupita tu no ifike wakat penye umuhim kila mmoja afany kwa nafad yaje ni hayo tu waungwana
ni mm KAPUKU ASIE NA MAJIVUNO ANAJIELEWA
HESHIMA IDUMU
SNIPER SHOOTER
NAONDKA HVO
SNIPER SHOOTER SITAKI UMAARUFU ILA NATAKA
UMASHUHURI
naaga Sniper Shooter
Hawaku amini kama huku ni rahisi ivi.... Ata nukta tu like kibaoHawajui kama points zipo tu.