Machine hiyo1964 - Marco Van Basten anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan na timu ya taifa ya Uholanzi.
Alistaafu soka mapema kutokana na majeruhi ya goti.
1984 - Waziri Mkuu wa India Indira Gandhi anauwawa walinzi wawili.
Alitamba sana enzi zake!Captain Dunga
Alipigania sana kubaki Real Madrid1976 - Guti anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania.
Mukongo mamboMorning guys
Senkyu SemegiView attachment 426938View attachment 426939View attachment 426940
Kwa udhamini mnono toka kwa Dar es salaam Young African sina la zaidi kutoka katika magazeti.
Naitwa Jimena Jimenes nawatakia wiki njema yenye mafanikio tele
Ciao
Bonge la demuHaya.....na wewe pia...
1973 - Wafungwa watatu watoroka gereza la Mountjoy Prison kwa kutumia Helikopta huko nchini Ireland.
Moja kati ya mikasa ya kusisimua iliyotokea miaka ya 70.
Asante diktetaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Shululu anko ake na JJ niwatakie siku njema.
Watakuwa wazee wa poda hao!!!1973 - Wafungwa watatu watoroka gereza la Mountjoy Prison kwa kutumia Helikopta huko nchini Ireland.
Moja kati ya mikasa ya kusisimua iliyotokea miaka ya 70.
Alikuwa na miguu ya chumaAlitamba sana enzi zake!
Ngoja wafia timu wajeBonge la demu
Ni mjukuu wa Mahatma Ghandhi???1984 - Waziri Mkuu wa India Indira Gandhi anauwawa walinzi wawili.
Leo katika Historia:
1922 - Benitto Mussolini anakuwa Waziri Mkuu wa Italy.
2002 - Timu ya As Adema yashinda mabao 142-0 dhidi ya So Emyrne katika mechi ya ligi huko Madagascar.
Katika mechi hiyo, timu ya So Emyrne ilijifunga magoli yote kwa kumkataa refa.
Kumbe dogo hivi!1963 - Dunga anazaliwa.
Mchezaji na kocha wa zamani wa Brazil.
Birthday ya wanasoka leo!!!1979 - Simao Sabrosa anazaliwa.
Mwanasoka wa zamani wa Ureno.
1976 - Guti anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania.
1963 - Dunga anazaliwa.
Mchezaji na kocha wa zamani wa Brazil.
1964 - Marco Van Basten anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Ajax, Ac Milan na timu ya taifa ya Uholanzi.
Alistaafu soka mapema kutokana na majeruhi ya goti.
1965 - Denis Irwin anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Man Utd na Timu ya taifa ya Ireland.
Beki wa kushoto aliyekuwa anaweza kutumia miguu yote miwili kwa ufasaha.
Pia alikuwa ni mtaalam wa mipira iliyokufa.