Hata mm huyo jamaa nilihisi ni ww ndo mama kama unakimbuka nlishawahi kukuuliza PmKuna mtu anajiita Tozi23 wengi wanafikiri ni mimi kwa Multiple ID na avatar yawanatumia zaidi ya watu wa3
Jf inaboa wanakopi na kupaste
....
Mimi naitumia ID 1 (nilishakueleweshaga PM)Hata mm huyo jamaa nilihisi ni ww ndo mama kama unakimbuka nlishawahi kukuuliza Pm
Na hata huyusa nilifikiri ni ww
Bongo muvi bhana eti jambazi kamnyoshea mtu Bastola afu anamwambia ..... NITAKUCHINJAAAA..
```Nimezima Tv ..nime0na ningie JF```
Nmekuelewa tozi5545Mimi naitumia ID 1 (nilishakueleweshaga PM)
Sipigwi BAN wala kuanzisha ligi na mtu au kuchezea watu akili hivyo sioni mpango kumiliki ID nyingi labda iwe keasababu maalumu mfano biashara maana sitataka watu wamjue BITOZ
........
Le Babu jinga linamtetea yule Miss Tz bayabaya kule instaNmekuelewa tozi5545
Hahahaha ukimloga mbadilishe jinsia tu... HatarudiaMavi ww
nitakuloga..
ha ha ha ngoja nitumie username yake kabisa afu tuone atafanyaje kama avatar ndo hivyoHahahaha ukimloga mbadilishe jinsia tu... Hatarudia
Demu wa kisoro sana yule, maana anaonekana hata K yake imesoma kilomita sanaLe Babu jinga linamtetea yule Miss Tz bayabaya kule insta
Yaani kazidiwa hata na demu zetu
......
Huyu jamaa sijui ni jiniHahahaha ukimloga mbadilishe jinsia tu... Hatarudia
Mbona ashabadili!!!.....au hasira za MUFc umemwamishiaHuyu jamaa nmeshamsoma, ni mchokozi sana
ha ha ha ngoja nitumie username yake kabisa afu tuone atafanyaje kama avatar ndo hivyo
Usiniulize nitaijuaje password yake ili ni log in
Watu wanachuana
Ushamuogopa tayari, utaweza kumroga kweliHuyu jamaa sijui ni jini
Khaaa
Zote zoteMbona ashabadili!!!.....au hasira za MUFc umemwamishia
unacheka mkuu?
hana uwezo huo mkuu,kanifata pm akaniomba msamahaUshamuogopa tayari, utaweza kumroga kweli
Nikishindwa, nitampaka hata maviUshamuogopa tayari, utaweza kumroga kweli