Makapuku Forum

Hata mm huyo jamaa nilihisi ni ww ndo mama kama unakimbuka nlishawahi kukuuliza Pm
Na hata huyu
sa nilifikiri ni ww
Mimi naitumia ID 1 (nilishakueleweshaga PM)
Sipigwi BAN wala kuanzisha ligi na mtu au kuchezea watu akili hivyo sioni mpango kumiliki ID nyingi labda iwe keasababu maalumu mfano biashara maana sitataka watu wamjue BITOZ
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…