Makapuku Forum

[emoji15] [emoji15] [emoji15] Duh!! Nitake radhi bhana..
Jimena,cwtp, patience 123 etc.. Mukuye huku kutoa ushahid eti iko mimi tongoza nyinyi!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii inaweza ikawa ni post ya jana ila ni muhimu ngoja niijibu tu. Mimi Hapana sijawahi kutongozwa na makaveli10 wala hata PM hajaingia.
 
1971 - Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yabadilishwa jina na kuanza kutambulika kama Zaire.

Chini ya Utawala wa Dikteta, Mobutu Sesseseko ilitambulishwa sera ya Africanization ya kubadilisha majina ya kizungu kwenda majina ya kiasili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…