Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Ngapi ngapi
Ngapi ngapi
Hawa madogo maboya sana walitubania sisi leo wanapigwa hvi
*****

Asante, imenibidi nirudi kuchungulia, kweli nimetupiaHongera kwa 123k
Manake naona umetupia kiulainiii
Hhmm... Hapana mie niko pekee yangu.. Wee unamfukuzia mtoto wa padre wewe..
Mbona siku zote ulikuwa hutokei kanisani mpaka uliposikia mtoto wa mchungaji karudi toka masomon ulaya ndio umeeanza kuja kwa church..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mje nakujua wewe mbatombato

Salama kabisa bro ShululuPoa poa mkuu, wewe vp
UpoYANGA bwana.
Pale ambapo unafuraha Yanga kashinda leo, ila badae Man U akipigwa na Man City magoli ya kutosha.![]()
Yanga ina mastraika wa4 hatari
.......

NIPO SIASANI...
Man U hafungwiPale ambapo unafuraha Yanga kashinda leo, ila badae Man U akipigwa na Man City magoli ya kutosha.
Basi furaha yako yote inayayuka
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
labda hao YangaPale ambapo unafuraha Yanga kashinda leo, ila badae Man U akipigwa na Man City magoli ya kutosha.
Basi furaha yako yote inayayuka
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli ungenyang'anywa mchumba,angeenda mabibo Beach kupika kambale na ugaliPale ambapo unafuraha Yanga kashinda leo, ila badae Man U akipigwa na Man City magoli ya kutosha.
Basi furaha yako yote inayayuka
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yani akianza huyu Felain hatushindi kamwe, zaidi tutafungwa tu
Nililiona hili mapemaKweli ungenyang'anywa mchumba,angeenda mabibo Beach kupika kambale na ugali