Welbeck mcheza disko hata ArsayNO wamechukua garasa halafu wakatuona wajingaNyakati zimekwenda wapi? Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita. Eti tulikuwa na Welbeck kama Straika.
Walipomsajili walitamba sana...Welbeck mcheza disko hata ArsayNO wamechukua garasa halafu wakatuona wajinga
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.......
Anachoweza ni kunyoa panki tu km MadengeWalipomsajili walitamba sana...
Bila kujua Man Uwalishaona mbali
Yako wapi sasa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2] lile ni garasa tu, sijui lina miguu ya plastic mana kila siku ni majeruhiAnachoweza ni kunyoa panki tu km Madenge
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
Oui bonjourG'dmornin Fellaz
Sana
Jembe hiliView attachment 418383View attachment 418384View attachment 418385View attachment 418386View attachment 418387
Alikuwa mtu wa watu
RIP
......
KweliNi kama Patrice Lumumba
MamboNdiyo maana Ginora na Cantona zilikuwa haziivi kabisa, sababu wote walikuwa watu wa dharau
Najua alivyowafunga mliumia sana sana[emoji2] lile ni garasa tu, sijui lina miguu ya plastic mana kila siku ni majeruhi
Mambo mukongoG'dmornin Fellaz
Poa, za wewe na family yoteMambo
Habari mkuuHao jamaa waliwasumbua sana wenzao
Poa mkuuPoa, za wewe na family yote
[emoji23] haya ubora wake uko wapi sasa?Najua alivyowafunga mliumia sana sana
Kuifunga Manchester United[emoji23] haya ubora wake uko wapi sasa?
Sawa..Kuifunga Manchester United
Kukosa kukosa tu BablaiIligonga mwamba, ila David alikuwa anajua kufunga