Makapuku Forum

[emoji122] [emoji122] [emoji122] Huey Newton
 
Siasa Siasa
 
1987 - Thomas Sankara anauwawa.

Alikuwa ni Rais wa 5 wa Burkina Faso.

Alijulikana kama Che Guevara wa Afrika kwa mrengo wake wa Kiujamaa, Kimarx na hata uvaaji wake akifananishwa na Mwanamapinduzi huyo wa Kiargentina.

Aliuwawa na rafiki yake wa karibu, Blaise Campaore.
 
Pia ndiye mchezaji wa mwisho kufunga goli la dhahabu
 
2015 - Deo Filikunjombe anafariki Dunia katika ajali ya Helikopta.

Alikuwa ni mbunge wa Jimbo la Ludewa. Alifariki siku kadhaa kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 nchini Tanzania.

Anatajwa kama Mbunge machachari katika Bunge lililopita na anakumbukwa sana kwa kuwa sehemu ya kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza skandali ya Escrow kando ya Zitto Kabwe.
 
Iligonga mwamba, ila David alikuwa anajua kufunga
 
Chema hakidumu, ila Compaole kakimbia nchi
 
1971 - Andy " Andrew " Cole anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Newcastle United, Man Utd na timu ya taifa ya England.

Anakumbukwa zaidi wakati wake akiwa klabuni Man Utd alipotengeneza kombinesheni hatari na Dwight Yorke.

Waliogopwa km Ebola
Enzi hizo dozi inaanzia 3 hata wakitangulia kufungwa ushindi ni lazima
.....
 
1st anniversary R.I.P FILIKUNJOMBE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…