Makapuku Forum

Hapo nakubaliana na wewe. Malkia hakupigwa mafuta na huyu jamaa.

Ila kuna jamaa mmoja aliwahi kuingia makazi ya Malkia pale Buckingham Palace na kuzama mpaka katika chumba anacholala Malkia kabla ya kushtukiwa na vyombo vya usalama.
Mtu akiingia namna hiyo mpaka ndani, mimi huwa namuona ni shujaa sana
 
Dah! Angetunguliwa lowasa wallah pasingetosha... [emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…