Makapuku Forum


Kitu nyota tu
.....
 
Malkia angepigwa kitu walahi waingereza wangemuua hata huko gerezani.
Hapo nakubaliana na wewe. Malkia hakupigwa mafuta na huyu jamaa.

Ila kuna jamaa mmoja aliwahi kuingia makazi ya Malkia pale Buckingham Palace na kuzama mpaka katika chumba anacholala Malkia kabla ya kushtukiwa na vyombo vya usalama.
 
Hapo nakubaliana na wewe. Malkia hakupigwa mafuta na huyu jamaa.

Ila kuna jamaa mmoja aliwahi kuingia makazi ya Malkia pale Buckingham Palace na kuzama mpaka katika chumba anacholala Malkia kabla ya kushtukiwa na vyombo vya usalama.
Binadamu ni noma, watu wako very bright mtu kazama Palace bila kuonekana/kushtukiwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…