Makapuku Forum

Kumbe nguvu za kiume zimeanza kuongezwa kitambo sana
 
1973 - Rais Richard Nixon wa Marekani anampendekeza Gerlad Ford kuwa Makamu mpya wa Rais akichukua nafasi ya Spiro Agnew.

Makamu wa Rais Ford baadae anakuja kuwa Rais baada ya Nixon kujiuzulu. Anabaki kuwa mtu pekee kuwa Makamu wa Rais na Rais ambaye hakuchaguliwa kwa kura za wananchi.
 
Malkia angepigwa kitu walahi waingereza wangemuua hata huko gerezani.
 
Eti anaongeza nguvu za kiume!!!.....dawa za miti shamba???
 
Joyce Banda type
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…