jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,902
Kumbe nguvu za kiume zimeanza kuongezwa kitambo sana1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.
Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.
Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.
Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.
Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
R.I.P2015 - Abdallah Kigoda anafariki Dunia.
Alikuwa ni Mbunge wa Handeni na Waziri wa nane wa Viwanda na Biashara.
Prof nguri2014 - Ali Mazrui anafariki Dunia.
Ni mwanazuoni mahiri toka nchini Kenya.
R I P2015 - Abdallah Kigoda anafariki Dunia.
Alikuwa ni Mbunge wa Handeni na Waziri wa nane wa Viwanda na Biashara.
2012 - James Coyne anafariki Dunia.
Alikuwa ni gavana wa pili wa Benki kuu ya Canada.
Oui bonjour papaBonju monamii
Wat du yu min?Msituni ngedere ndo mshindi
Hakika mkuu...[emoji134] [emoji134] [emoji134] muda wa kuweka mizani uone kama malengo ya mwaka huu yamefanikiwa kwa kiasi gani[emoji17]
2014 - Ali Mazrui anafariki Dunia.
Ni mwanazuoni mahiri toka nchini Kenya.
Malkia angepigwa kitu walahi waingereza wangemuua hata huko gerezani.1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.
Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.
Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.
Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.
Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Ila Wamarekani wanatudanganya kwenye movie zao eti walishinda.WaVietnam waliwachapa shaba wamarekani mpaka wakasema pooh[emoji23]
Eti anaongeza nguvu za kiume!!!.....dawa za miti shamba???1949 - Carlos the Jackal anazaliwa.
Ni gaidi aliyetikisa Dunia miaka ya 1970's na aliisumbua sana Ufaransa. Ni mzaliwa wa nchini Venezuela.
Alikamatwa huko Sudan akiwa anaongeza nguvu za kiume.
Kwasasa anatumikia kifungo cha maisha huko Ufaransa.
Kuna stori nyingi sana za magumashi kitaa eti alimla Malkia Elizabeth bila kushtukiwa.
Joyce Banda type1973 - Rais Richard Nixon wa Marekani anampendekeza Gerlad Ford kuwa Makamu mpya wa Rais akichukua nafasi ya Spiro Agnew.
Makamu wa Rais Ford baadae anakuja kuwa Rais baada ya Nixon kujiuzulu. Anabaki kuwa mtu pekee kuwa Makamu wa Rais na Rais ambaye hakuchaguliwa kwa kura za wananchi.
Asante sana kwa historia mwenyekitiLeo katika Historia:
Sina la ziada, tukutane kesho.
Kama Mbagala.
Asante sana mkuu mussolin kwa leo katika historia bora kabisaLeo katika Historia:
Sina la ziada, tukutane kesho.
Ujumbe umefika
View attachment 416573View attachment 416574View attachment 416576View attachment 416577View attachment 416578View attachment 416579
Tuwe tunasoma vitabu mtandaoni badala ya kuangalia picha za [emoji777]
Cc Kikofia
.............