Makapuku Forum


President manuksi
.........
 
NUKUU NO 3#

Kuna viongozi wanafiki na wala milungura na viongozi hao ni shida sana kuwagundua, kwani wakijua kwamba karibu wanagunduliwa wanakimbia.

Maneno haya yalisemwa na Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere,Jun 8,1969 wakati akifungua mkutano wa TANU
 
 

Happy birthday SIR BOBBY CHARLTON
79 YRS
......
Aisee nilimruka kwenye leo ktk historia.

Sijamtendea haki, gwiji huyu wa soka wa Man Utd na timu ya taifa ya England.

Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Sir Robert " Bobby " Charlton, Mshindi wa kombe la dunia lililofanyika mwaka 1966 katika ardhi ya nyumbani kwao palepale Uingereza.
 
JFK alikuwa na vision kubwa sana. Vizuri havidumu.
 
Mmoja kati ya watu wawili tu katika historia ya Nchi hii kushika wadhifa wa Uwaziri Mkuu kwa vipindi viwili tofauti.

Anatajwa tajwa sana na kuhusika katika kifo cha Edward Sokoine japo hakuna uthibitisho.

Pia mtoto wake wa kumzaa ambaye webgi hawajui kama ni mwanae kwa majina anayotumia Mh. Mathayo David Mathayo alishawahi kushika madaraka ya uwaziri katika Serikali ya awamu ya Nne ya Jakaya Kikwete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…