Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Hiyo ni link?Nyerere na Mandela,yupi alikuwa bora zaidi? mpo au??
Mbona haifunguki
.......
Hiyo ni link?Nyerere na Mandela,yupi alikuwa bora zaidi? mpo au??
Bob mbona hicho sio kireno ni kidutch...hiyo lugha iko familiar wanaongeaga sana watu wa Denmark.
Pamoja sana mkuuAhsante mkuu...
hata sio link nilitaka kujua mpo ngoja nilete yenyeweHiyo ni link?
Mbona haifunguki
.......
Nyerere alikuwa jembe!!Nyerere na Mandela,yupi alikuwa bora zaidi? mpo au??
Haya tutafsirieBob mbona hicho sio kireno ni kidutch...hiyo lugha iko familiar wanaongeaga sana watu wa Denmark.
Mzee warioba![emoji4][emoji4]NUKUU NO 2#
Wananchi pia walizungumzia hifadhi ya Jamii, hasa kwa wazee
Wanasema wafanyakazi wanamifuko ya hifadhi ya Jamii na mishahara yao inaongezwa kila wakati
Kwa wakulima, mapato yao ni madogo na wakizeeka hawana hifadhi yoyote.
Hata matibabu ya wazee sio bure kama utaratibu wa serikali unavyoelekeza, kwa shart wanunue dawa wakati uwezo wao wa kifedha ni mdogo
Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, jaji Joseph Warioba, katika hotuba yake kwenye bunge maalumu la katiba, Mach 2014
SanaaaaHata mimi naukubali sana mziki wake
EwaaaaaaNukuu ya leo itawajia hivi punde
Hongera sana kwa 118k1975 - Papua New Guinea yajiunga na Umoja wa Mataifa.
Watu walimzushia sana aiseeJamaa hakua shoga kama inavyo daiwa na aliuawa na mzee wake kutokana na tofauti zao tu.
Namkubali sana Marvin.
Lakini......?[emoji46]Hebu nipe ukweli mkuu
Nishaenda.....umeona sasa watu wanavyosumbua washakupiga swali za kizushi
hajui "bora"Nishaenda.....umeona sasa watu wanavyosumbua washakupiga swali za kizushi
Mi thread za kubishana siziwezi
Sipendi stress
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
Yeye kakosea, hajachanganua vizuriNishaenda.....umeona sasa watu wanavyosumbua washakupiga swali za kizushi
Mi thread za kubishana siziwezi
Sipendi stress
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
Mi nabaki kuwa mtazamaji.....cha msingi jifunze kuwajibu maana ni KF pekee ambapo watu tunachekeana na kukosoana kistaarabu au kiutanihajui "bora"
Admin ameidelete tayari topic yako....nikiingia inakataa
naona mods wameifuta???????????????!!!!!!!!!???????Mi nabaki kuwa mtazamaji.....cha msingi jifunze kuwajibu maana ni KF pekee ambapo watu tunachekeana na kukosoana kistaarabu au kiutani
Mi ndo maana sipendi kuanzisha thread
........
Haaaahaaaa, Ruangwa badala ya LindiJaji Warioba a.k.a Mzee Kigogo namkubali sana.
Hawa ndio Viongozi wa mwishomwisho ambao ni Wazalendo na sio wale waliojijengea maduka ya dawa majimboni mwao badala ya wilayani kwenye Hospitali.