Makapuku Forum

Makapuku Forum

Naona wewe unapenda mimi sijawahi hata kuanzisha popote pale....zaidi ya haka ka segment humu KF
Mi Jukwaa langu kuu ni CHIT CHAT kabla sijajulikana nilitoa thread km 10 za swaga na hadi leo hazichuji .....nikaona hakuna haja ya kuanzishaanzisha thread ili masela tuwe tunapiga stori ndo likanijia wazo la kuanzisha kijiwe cha KAPUKU FORUM...Hapa tupo FREE kuongea kila ishu
.....................
 
images
Wabadili hiyo nembo cos seems that slogan doesn't applied no more.
 
Mi Jukwaa langu kuu ni CHIT CHAT kabla sijajulikana nilitoa thread km 10 za swaga na hadi leo hazichuji .....nikaona hakuna haja ya kuanzishaanzisha thread ili masela tuwe tunapiga stori ndo likanijia wazo la KAPUKU FORUM...Hapa tupo FREE kuongea kila ishu
.....................
ila nadhani wanapitia pitia humu kama kuna mtihani
 
ila nadhani wanapitia pitia humu kama kuna mtihani
Wanapitiaga lakini WANATUKUBALI hata mod nikimfuata PM haina shida sababu HATUVUNJI SHERIA ZA JF....Pia hii thread in msaada kwa watu wengi usoma swaga na nondo za hapa & matokeo ya mpira,vichekesho n.k
na ndo thread inayofuatiliwa zaidi hapa Jf hivyo inaonyesha jinsi tunavyokubalika japo HATERS HUTUPONDA

Kumbuka huku ni Chitchat hakunaga nongwa
.............
 
Back
Top Bottom